Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Rais ameanza taratibu tena kwa mbali sana wenye uoni angavu tunaona hii yote ni ROPO ROPO YA AKINA MDUDE MBOVU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chafua kuna aliyekukataza.Mkuu jaribu kuwa na nidhamu kwenye dini za watu. Hata huyo mtume wenu mbakaji wa vitoto vidogo tukitaka kumchafua tuna uwezo.
Acheni haya maneno. Nachukia sana watu wenye chembe za udini. SISI NI TAIFA.Mama lazima awakumbuke kina Thabit, Abdallah, Ame, Makame.
JPM alikuja na kina Mabula, Mashimba, Mabina, Mashiku. Mwingine akiingia atawabeba jamaa zake ndio aina ya uongozi tangu enzi za mwasisi.
Umeteremka kiasi hicho au ulilalia upande mwingine?Waislamu wanagaiana vyeo tu 😉😉😉
Ngoja na mie nikifukuzie hiki...Kitengo cha kudhibiti pombe haramu nani mkuu wake
Sema unalotaka kusema kwa maneno machache,kwa taarifa yako huku JF soote tuna akili.Hivi vyeo siku hizi vimeongezeka hatari. Mpaka vya kudhibiti fedha haramu. Au kila zama na wakati wake?
Tena kipo siku nyingi sana tuuwengi hawakijui hiki kitengo kipo. sio kitu kigeni
Anza kumfundisha nidhamu mgalatia mwenzako.Mkuu jaribu kuwa na nidhamu kwenye dini za watu. Hata huyo mtume wenu mbakaji wa vitoto vidogo tukitaka kumchafua tuna uwezo.
Hiyo ipo mudaHivi vyeo siku hizi vimeongezeka hatari. Mpaka vya kudhibiti fedha haramu. Au kila zama na wakati wake?
Unachokoza nyukiWaislamu wanagaiana vyeo tu [emoji6][emoji6][emoji6]
Hakuna wenye uwezo..tarajia nchii hii kukubwa na ufisadi ulio kithiiri...nadhani unakumbuka awamu ya 4..madawa ya kulevya..wizi wa mchana kweupe..ajali kila kona ya nchi...hayo ni kwauchache.Tuache visa vya dini. Waislamu nao ni watanzania wanastahili vyeo na nafasi serekalini. Kitu cha msingi ni uwezo, kama upo, kila la kheri mteuliwa.
Unataka hayo makampuni yakimbie Tz maana unataka yabanaHiki kitengo kwa muda mrefu kipo kama hakipo, sasa ni muda muafaka kwa kamishna mpya kubaini na kudhibiti fedha haramu.
1. Fedha zitokanazo na biashara ya madawa ya kulevya.
2. Fedha zitokanazo na Ufisadi na rushwa.
pia huduma za mobile money zithibitiwe/kuwe na uchunguzi/uangalizi wa karibu sana kwani kuna uwezekano mkubwa kutumiwa na wahalifu wa aina mbalimbali kupitishia fedha chafu.
tunategemea kamishna Fatuma atadhibiti myanya yote ya fedha chafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia tuulia wewe! Hukuwhi mkosoa Dikteta Magufuli alivyo kuwa anateua wahutu wenzake serikalini. Kuwa mpole.Waislamu wanagaiana vyeo tu 😉😉😉
Wapo wazenji vichwa sana kuna yule Mbarawa alifanya kazi enzi ya Hayati ni boonge la msomi.Naona familia ya mudi ya waelimu akhera wanapena vyeo..hakuna ufanisi utakao tokea nchi hii..wengi wao vilaza.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabadiliko ya katiba ya fanywe ili fursa ziwe 50/50 waislamu wanaonewa na wamenyimwa fursa muda mrefu, msema kweli ni mpenzi wa MunguHakuna wenye uwezo..tarajia nchii hii kukubwa na ufisadi ulio kithiiri...nadhani unakumbuka awamu ya 4..madawa ya kulevya..wizi wa mchana kweupe..ajali kila kona ya nchi...hayo ni kwauchache.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Alifanya kazi gani..mbona ndio naliskia hili jina leo..alikua nani?Wapo wazenji vichwa sana kuna yule Mbarawa alifanya kazi enzi ya Hayati ni boonge la msomi.
Hahaaaa..hakuna aliywanyima fursa..sasa watapataje fursa kama hawapereki watoto shule..wamekalia kuoana tu na kuzaana kama panya..yet hawajari elimu wanajari tende kutoka uarabuni.Mabadiliko ya katiba ya fanywe ili fursa ziwe 50/50 waislamu wanaonewa na wamenyimwa fursa muda mrefu, msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Waziri wa maji kabla ya hapo miundo mbinu.Alifanya kazi gani..mbona ndio naliskia hili jina leo..alikua nani?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app