Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sasahivi zinapigwa kimya kimyaFedha haramu zikoje wataalamu mtuambie!
Hivi wakati wa ziara za Hayati JPM zile maburungutu ya fedha zilizokuwa zinatolewq hadharani zilikuwa halali au Haramu?!
Mbona siku hizi hatuzioni zikitolewa?
Je yule aliyekuwa anabeba mkoba ule alilipwq ngapi na yuko wapi? Mwenye fununu atujuze. Kazi yaendelea!
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app