Fatma Ayoub Mwinyimvua ateuliwa kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu

Rais ameanza taratibu tena kwa mbali sana wenye uoni angavu tunaona hii yote ni ROPO ROPO YA AKINA MDUDE MBOVU.
 
Mama lazima awakumbuke kina Thabit, Abdallah, Ame, Makame.

JPM alikuja na kina Mabula, Mashimba, Mabina, Mashiku. Mwingine akiingia atawabeba jamaa zake ndio aina ya uongozi tangu enzi za mwasisi.
Acheni haya maneno. Nachukia sana watu wenye chembe za udini. SISI NI TAIFA.
 
Tuache visa vya dini. Waislamu nao ni watanzania wanastahili vyeo na nafasi serekalini. Kitu cha msingi ni uwezo, kama upo, kila la kheri mteuliwa.
 
Hivi vyeo siku hizi vimeongezeka hatari. Mpaka vya kudhibiti fedha haramu. Au kila zama na wakati wake?
Sema unalotaka kusema kwa maneno machache,kwa taarifa yako huku JF soote tuna akili.
 
Mkuu jaribu kuwa na nidhamu kwenye dini za watu. Hata huyo mtume wenu mbakaji wa vitoto vidogo tukitaka kumchafua tuna uwezo.
Anza kumfundisha nidhamu mgalatia mwenzako.
 
Tuache visa vya dini. Waislamu nao ni watanzania wanastahili vyeo na nafasi serekalini. Kitu cha msingi ni uwezo, kama upo, kila la kheri mteuliwa.
Hakuna wenye uwezo..tarajia nchii hii kukubwa na ufisadi ulio kithiiri...nadhani unakumbuka awamu ya 4..madawa ya kulevya..wizi wa mchana kweupe..ajali kila kona ya nchi...hayo ni kwauchache.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka hayo makampuni yakimbie Tz maana unataka yabana
 
Hakuna wenye uwezo..tarajia nchii hii kukubwa na ufisadi ulio kithiiri...nadhani unakumbuka awamu ya 4..madawa ya kulevya..wizi wa mchana kweupe..ajali kila kona ya nchi...hayo ni kwauchache.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabadiliko ya katiba ya fanywe ili fursa ziwe 50/50 waislamu wanaonewa na wamenyimwa fursa muda mrefu, msema kweli ni mpenzi wa Mungu
 
Mabadiliko ya katiba ya fanywe ili fursa ziwe 50/50 waislamu wanaonewa na wamenyimwa fursa muda mrefu, msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Hahaaaa..hakuna aliywanyima fursa..sasa watapataje fursa kama hawapereki watoto shule..wamekalia kuoana tu na kuzaana kama panya..yet hawajari elimu wanajari tende kutoka uarabuni.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…