Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha watukanane tu! Wanagombania asali na juice za Ikulu!! Hahahahah...View attachment 2251475
Huu ndio ujumbe wa Shangazi wa Taifa.
Wataalam wa siasa za kimataifa wanaita hizi ni spana za kisoviet.
Wakati unaendelea kutupatia ukweli.
Shujaa hakuendekeza wanasiasa na wanaharakati njaa njaa sasa wanagombania kulamba sukari wao kwa wao.
Hatuna shida na misimamo ya watu,lakini tutapinga unafiki.View attachment 2251475
Huu ndio ujumbe wa Shangazi wa Taifa.
Wataalam wa siasa za kimataifa wanaita hizi ni spana za kisoviet.
Wakati unaendelea kutupatia ukweli.
Shujaa hakuendekeza wanasiasa na wanaharakati njaa njaa sasa wanagombania kulamba sukari wao kwa wao.
Hata hapa JF ukitofautiana nao, unaloUtashangaa chama kina neno demokrasia ndani yake, ila wao demokrasia ni kuwa upande wao na mawazo kama yao, ukitofautiana nao tu taabu!!
NGOGWEMATAGA ni jina watu walilojiita wenyewe, Ngogwe ilitokana na Zitto kutumia ramani ya uzalishaji ngogwe kutaka kuipasiha ACT. Nyumbu limetokana na nini?
Nadhani inatokana na tabia ya "kufuata" viongozi bila kuhoji!MATAGA ni jina watu walilojiita wenyewe, Ngogwe ilitokana na Zitto kutumia ramani ya uzalishaji ngogwe kutaka kuipasiha ACT. Nyumbu limetokana na nini?
Chadema tusiogope kuambiwa ukweli nasi tusisite kupiga spana kwa kweli Shangazi ni mtu muhimu na ni akili kubwa tukae chini tuuajenge.
Nadhani inatokana na tabia ya "kufuata" viongozi bila kuhoji!
Kama vile nyumbu !
Walimfuga na kumlea wenyewe. Sasa amekosa chakula na kuwarudia wafugaji.View attachment 2251475
Huu ndio ujumbe wa Shangazi wa Taifa.
Wataalam wa siasa za kimataifa wanaita hizi ni spana za kisoviet.
Wakati unaendelea kutupatia ukweli.
Shujaa hakuendekeza wanasiasa na wanaharakati njaa njaa sasa wanagombania kulamba sukari wao kwa wao.
Eti wanasema neno NYUMBU linatokana na aina ya wanachama wa CHADEMA akili zao kama hao wanyama, wanaswagwa tu na Mbowe anavyotaka. Wanadai jina hili lilianzia pale Mbowe alipowapa wanachama wake kazi ya kumsafisha Edward Ngoyai kuwa siyo fisadi; yaani kukana maneno yao ya awali kuwa ni fisadi ili awe mgombea safi wa CHADEMA 2015. Hivyo neno Nyumbu limekuwa jina la wafuasi wa chama hicho; yaani wana very low reasoning capacity. Mfano eti mwenyekiti wa BAVICHA Pambalu kwa zile harakati zake uchwara; yaani harakati za pimbi.MATAGA ni jina watu walilojiita wenyewe, Ngogwe ilitokana na Zitto kutumia ramani ya uzalishaji ngogwe kutaka kuipasiha ACT. Nyumbu limetokana na nini?