Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Ni utani tu kama Utopolo na Makolo Kwenye mpira! Jina linastawi bila sababu ukiwa na bahati litaisha lenyewe!Katika vyama VYOTE kuna kundi hufuata viongozi bila kuhoji, nafikiri hii iko zaidi kwa chama tawala. Kwa nini hili jina liwe mahususi kwa CDM tu??
Jina la YEBO YEBO Yanga liliisha lenyewe!