SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Menopause inampa msongo wa mawazo viongozi wa Chadema wameamua kumpuuza maana ukibishana na chizi watu watashindwa kuona tofauti kati yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upotoshaji.Au haujui kusoma,kuchukua maudhui na kuyatafsiri?View attachment 2251475
Huu ndio ujumbe wa Shangazi wa Taifa.
Wataalam wa siasa za kimataifa wanaita hizi ni spana za kisoviet.
Wakati unaendelea kutupatia ukweli.
Shujaa hakuendekeza wanasiasa na wanaharakati njaa njaa sasa wanagombania kulamba sukari wao kwa wao.
Kumbe sio juice ya tendeAcha watukanane tu! Wanagombania asali na juice za Ikulu!! Hahahahah...
Kwani CHADEMA ikichanwa kuna shida gani ?Eti wanasema neno NYUMBU linatokana na aina ya wanachama wa CHADEMA akili zao kama hao wanyama, wanaswagwa tu na Mbowe anavyotaka. Wanadai jina hili lilianzia pale Mbowe alipowapa wanachama wake kazi ya kumsafisha Edward Ngoyai kuwa siyo fisadi; yaani kukana maneno yao ya awali kuwa ni fisadi ili awe mgombea safi wa CHADEMA 2015. Hivyo neno Nyumbu limekuwa jina la wafuasi wa chama hicho; yaani wana very low reasoning capacity. Mfano eti mwenyekiti wa BAVICHA Pambalu kwa zile harakati zake uchwara; yaani harakati za pimbi.
Akieleza mawazo yake kuna hida gani ?Walimfuga na kumlea wenyewe. Sasa amekosa chakula na kuwarudia wafugaji.
Subatu yani binafsi nikamuite mtu shangazi , sijui mjomba wa Taifa , wapo wafanyavyo hivyo labda Wana sababu zao Sio Mimi ,nitakeradhi mamaSi mlimuita shangazi wa taifa lakini leo mnamshambulia?