Fatma Karume aendeleza spana kwa CHADEMA, awaambia "Hamnitishi na sikuogopeni"

Fatma Karume aendeleza spana kwa CHADEMA, awaambia "Hamnitishi na sikuogopeni"

🤣 🤣 🤣 🤣🤣

Sijawahi muamini sana huyo dada sijawahi kabisa

Nilikuwa na mashaka nae since nilipowahi ona kavaa nguo ya ccm na kitambulisho shingoni cha ukada na kashika mic anaongea sijui kwenye mkutano

Hata zile harakati ni kwasababu tu maslahi yake na ya mzee wake yaliguswa.

Tuwe makini na hawa wanaharakati uchwara msiwape sana umaarufu.
People have logic - Fatma alikuwa ana lecture watu kuwaambia kikosi kazi ni batili na hakipo kisheria, walipomuuliza sasa kwann sasa amekubali kwenda kutoa maoni kwenye kikosi kazi ambacho ni batili na hakiamini- hapa ndipo tatizo lilipoanza. Badala ya kuja na counterargument kama msoni, kaamua kuja na porojo
 
JUAN MANUEL kama huwezi kuona tofauti ya Magufuli na Samia utajuwa una mtindio wa ubongo, hata ukienda hospitali huwezi kupona.

Haijalishi kuwa Samia alikuwa Makamu wa Rais lakini wenye akili tunajuwa maamuzi makubwa ya Magufuli alikuwa hashirikishwi.
Stuxnet nakubaliana na wewe, lakini kuwekuwa na katrend ambacho kalianza wakati wa magufuli na kanaendelezwa sana wakati huu ambacho siyo sawa na kitaharibu kustakabali wa taifa huko mbeleni- Mambo ya UDINI na UKANDA. Kumsifia tu magufuli au samia kwa sababu za ukanda au udini haikuwa sawa na siyo sawa leo. Nilishaandika huko nyuma kuhusu Fatma na Zitto, hawa watu hawana credibility yeyote kwenye hii nchi zaid ya kuendeleza ukanda na udini, na maslahi binafsi-na wala sitashangaa kama wameahidiwa vyeo na wakapewa because they are too opportunist.
 
Fatma ni akili kubwa ila huwa na logic za hovyo hapa na pale zisizo na mashiko. Pia hana ngozi ngumu ya kuvumilia criticism hasa nje ya CCM.
Tatizo liko kwa Wana CDM, hawapendi mawazo mbadala. Kwa mfano mimi posts zangu zote za 2015-21 zilikuwa za kushambulia utawala wa Magufuli kwa vile ulikuwa unakandamiza demokrasia, unanyima uhuru wa maoni, unateka, kuua na kutesa.

Sasa alipokuja Samia na kubadili mambo yote kwa 360°, sikuona haja ya kumpinga na nikaanza kumsifia. Na nikawa nawakosoa akina Mbowe na Lissu namna wanavyoendesha siasa zao kwa mtindo uleule dhidi ya Samia. Ushauri wangu mmoja ni huu hapa;


Wakaniona mimi ni CCM

Ifike mahali tutambue kama chama cha upinzani watambue wanataka nini na siyo siasa za mihemuko ambapo wanapinga chochote cha Serikali
 
Mbona Lowassa alipokelewa tena na akasifiwa na Magufuli aliporejea CCM baada ya kutakanwa sana kwenye kampeni?

Mbona Membe, Sumaye na Nyalandu wamerejea tena na wakashangiliwa sana baada ya kunangwa muda mrefu na wanachama hao hao??

Kwa nini hawa hawajaitwa Nyumbu?
Hawajaitwa nyumbu kwa sababu, wafuasi wa chadema huwa ufuata kila kauli ya Mbowe bila kujali jana alisema je na leo amesema je, mfano Mbowe akusema leo kaskazini itaitwa kusini wao wanarukia hivyo bila ku reasoning na kuanza kusupport , kesho Mbowe akisema tuiname miguu juu wao wanafanya hivyo hivyo bila hata kuuliza sababu za kuinama na kuweka miguu juu nini. Ndivyo na nyumbu walivyo, mmoja akirukia korongoni bila hata km kuna mamba, woote wanafuata nyuma bila kuangalia hatari iliyopo alimradi mmoja amejirusha
 
Hoja zake jibuni

Tatizo la msingi la Chadema ni kikosi kazi cha Rais au CCM?

unagoma kukutana na kina Mukandala unaenda kukutana na kina Mabodi, Kinana na Shaka.

Mwenyekiti Mbowe aliwaasa kuwa na mawazo huru kuruhusu kila mtu atumie njia anayoona inafaa lakini hamtaki wenzenu wafanye wanayoona inafaa

Fatma ni akili kubwa ila huwa na logic za hovyo hapa na pale zisizo na mashiko. Pia hana ngozi ngumu ya kuvumilia criticism hasa nje ya CCM.
 
Hoja zake jibuni

Tatizo la msingi la Chadema ni kikosi kazi cha Rais au CCM?

unagoma kukutana na kina Mukandala unaenda kukutana na kina Mabodi, Kinana na Shaka.

Mwenyekiti Mbowe aliwaasa kuwa na mawazo huru kuruhusu kila mtu atumie njia anayoona inafaa lakini hamtaki wenzenu wafanye wanayoona inafaa

Wanachotaka ni uhakika wa asali.
 
Utashangaa chama kina neno demokrasia ndani yake, ila wao demokrasia ni kuwa upande wao na mawazo kama yao, ukitofautiana nao tu taabu!!
Kile sio chama cha demokrasia bali ni kikundi Cha wanasiasa Malaya malaya waliokusanyika kufanya uhuni wa kisiasa 😡
 
Tatizo liko kwa Wana CDM, hawapendi mawazo mbadala. Kwa mfano mimi posts zangu zote za 2015-21 zilikuwa za kushambulia utawala wa Magufuli kwa vile ulikuwa unakandamiza demokrasia, unanyima uhuru wa maoni, unateka, kuua na kutesa.

Sasa alipokuja Samia na kubadili mambo yote kwa 360°, sikuona haja ya kumpinga na nikaanza kumsifia. Na nikawa nawakosoa akina Mbowe na Lissu namna wanavyoendesha siasa zao kwa mtindo uleule dhidi ya Samia. Ushauri wangu mmoja ni huu hapa;


Wakaniona mimi ni CCM

Ifike mahali tutambue kama chama cha upinzani watambue wanataka nini na siyo siasa za mihemuko ambapo wanapinga chochote cha Serikali

..kwanini unaamini wanaokupinga ukimsifia Ssh ni wana Cdm, na sio Ccm, Act, au chama kingine?

..pia hudhani kwamba wanaokupinga unapomsifia Ssh wanafanya hivyo kwasababu wanaamini hajafanya mabadiliko ya kutosha ya kimsingi kustahili kusifiwa au kupongezwa?

..au unaamini wanaokupinga unapomsifia Ssh wanafanya hivyo kwasababu wanaona hana tofauti zozote zile na Jpm?

..Ssh bado anatekeleza zuio la mikutano ya hadhara na maandamano lililotolewa kinyume na katiba wakati wa awamu ya 5. Katika mazingira hayo sio ajabu wakawepo watu wasioridhishwa naye, au wanaoona anaendeleza ukiukaji wa katiba wa Jpm.

..Ssh pia hajachukua hatua zozote kwa waliohusika ktk dhuluma, hujuma, na ukatili dhidi ya viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani. Kwa mfano, msajili wa vyama vya siasa hajabadilishwa. Katibu Mkuu wa tume ya uchaguzi ni yuleyule aliyesimamia madudu ya 2020. Hakuna mabadiliko ktk jeshi la polisi. Ndio maana wako wanaomtilia shaka wanaouliza kama Ssh ana nia ya dhati ya kustawisha demokrasia hapa nchini.

Tindo, Proved
 
JUAN MANUEL kama huwezi kuona tofauti ya Magufuli na Samia utajuwa una mtindio wa ubongo, hata ukienda hospitali huwezi kupona.

Haijalishi kuwa Samia alikuwa Makamu wa Rais lakini wenye akili tunajuwa maamuzi makubwa ya Magufuli alikuwa hashirikishwi.
Nadhani hiyo hali ya kutoshirikishwa inaendelea hadi sasa akiwa rais na ndio maana sasa hivi kosa lolote la uongozi lawama haziendi kwa Samia moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa Magufulu, awamu hii chochote kibaya utasikia wanamuharibia Samia kwamba yeye hahusiki.
 
Si CDM wala huyo Shangazi wote wote hawana uvumilivu wa kukoaolewa kama hao cdm hawaamini kama nao kama wengine pia huweza kukosea.
 
Wamemalizana na JPM wameanza kupigana wenyewe alianza kigogo,fatma who's nexxxxttttt???
 
Hili kundi obviously lilikuwa linampiga vita magufuli na si chama dola
 
CCM haijawahi kushindwa kubomoa chama chochote cha upinzani. Heydays za CDM kwenye opposition politics sasa zinahesabika![emoji28]
Labda chini ya mwenyekiti mwingine, kwa Mbowe wameshajaribu sana na bado wanaendelea kujaribu lakini kitenesi kinadunda ukutani.
 
Labda chini ya mwenyekiti mwingine, kwa Mbowe wameshajaribu sana na bado wanaendelea kujaribu lakini kitenesi kinadunda ukutani.

Strategy ya CCM huwa ni kupandikiza mbegu za migogoro kwa ufundi mkubwa na kuzimwagilia maji kwa ustadi. Sasa hivi zipo dalili kwamba CCM imeshafanikiwa kuiingiza CDM ya Ayatollah Mbowe kwenye mtego uleule uliovivuruga vyama vikuu vya upinzani vilivyotangulia. Subiri; utaona kama kuna chenye maslahi ya taifa kitapatikana. Of course, kibinafsi, Ayatollah Mbowe na baadhi ya washirika wake wa karibu watanufaika. Wenzangu mimi itabidi waandike maumivu tu!
 
Huyu naye Hana lolote, ajue bila kubebwa na history ya familia yake Hana lolote ,kwani wako wanawake wangapi tz ambao kiuwezo wa fikra wamemuacha mbali Sana
Tatizo lake penda jiona anajua Sana, na KILA anachofanya yuko sawa , na KWa kujulikana kwake Basi KILA mtu atasikiliza au fuata rubish yoyote atafanya,
Sasa yeye Kama hatishiki na Chadema so anafikili Chadema inatishika na yeye, yeye nani,
Haende zake huko atutolele kelele za ujua , ila ni vyema akaelewa kukaa na watu vizuri maana sponsor hufa
Si mlimuita shangazi wa taifa lakini leo mnamshambulia?
 
Back
Top Bottom