Na wanaofuata akili za mizimu makaburini chato waitweje 🤣 🤣 ?Nyumbu limetokana na wafuasi wa chadema kuwa na akili kma za watu hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaofuata akili za mizimu makaburini chato waitweje 🤣 🤣 ?Nyumbu limetokana na wafuasi wa chadema kuwa na akili kma za watu hao
Huyu Fatima sijui Fatuma ni shangazi yake na nani?View attachment 2251475
Huu ndio ujumbe wa Shangazi wa Taifa.
Wataalam wa siasa za kimataifa wanaita hizi ni spana za kisoviet.
Wakati unaendelea kutupatia ukweli.
Shujaa hakuendekeza wanasiasa na wanaharakati njaa njaa sasa wanagombania kulamba sukari wao kwa wao.
Nyumbu limetokana na nini?
Hiyo ndio democracy yenyewe.tuvumiliane tuishiHata hapa JF ukitofautiana nao, unalo
This is ridiculous. Ukishambuliwa kwa maneno/hoja nawe jibu kwa maneno/hoja tofauti ionekane. Labda tuambiwe umetishiwa kudhuriwa kimwili (kujeruhiwa/kuuawa/kubakwa). Haiwezekani utishwe kwa maneno tu liwe suala la kulalamika.View attachment 2251475
Huu ndio ujumbe wa Shangazi wa Taifa.
Wataalam wa siasa za kimataifa wanaita hizi ni spana za kisoviet.
Wakati unaendelea kutupatia ukweli.
Shujaa hakuendekeza wanasiasa na wanaharakati njaa njaa sasa wanagombania kulamba sukari wao kwa wao.
View attachment 2251475
Huu ndio ujumbe wa Shangazi wa Taifa.
Wataalam wa siasa za kimataifa wanaita hizi ni spana za kisoviet.
Wakati unaendelea kutupatia ukweli.
Shujaa hakuendekeza wanasiasa na wanaharakati njaa njaa sasa wanagombania kulamba sukari wao kwa wao.
Nyumbu limetoka na wale wanyama wanaofuata mkumbo bila kufikiria, wanatumbukizwa mtoni na kiongozi wao hata kama Kuna mamba na wanaliwaMATAGA ni jina watu walilojiita wenyewe, Ngogwe ilitokana na Zitto kutumia ramani ya uzalishaji ngogwe kutaka kuipasiha ACT. Nyumbu limetokana na nini?
Chama chetu cha sisiemu ndo chama cha ma-nyumbu Og..Katika vyama VYOTE kuna kundi hufuata viongozi bila kuhoji, nafikiri hii iko zaidi kwa chama tawala. Kwa nini hili jina liwe mahususi kwa CDM tu??
Huyu naye Hana lolote, ajue bila kubebwa na history ya familia yake Hana lolote ,kwani wako wanawake wangapi tz ambao kiuwezo wa fikra wamemuacha mbali SanaView attachment 2251475
Huu ndio ujumbe wa Shangazi wa Taifa.
Wataalam wa siasa za kimataifa wanaita hizi ni spana za kisoviet.
Wakati unaendelea kutupatia ukweli.
Shujaa hakuendekeza wanasiasa na wanaharakati njaa njaa sasa wanagombania kulamba sukari wao kwa wao.
Huyu Fatima sijui Fatuma ni shangazi yake na nani?
Wewe umeongea nini hapa; yaani uwe na akili kubwa alafu logic zako ziwe mbovuFatma ni akili kubwa ila huwa na logic za hovyo hapa na pale zisizo na mashiko. Pia hana ngozi ngumu ya kuvumilia criticism hasa nje ya CCM.
MATAGA ni jina watu walilojiita wenyewe, Ngogwe ilitokana na Zitto kutumia ramani ya uzalishaji ngogwe kutaka kuipasiha ACT. Nyumbu limetokana na nini?
Utashangaa chama kina neno demokrasia ndani yake, ila wao demokrasia ni kuwa upande wao na mawazo kama yao, ukitofautiana nao tu taabu!!
JUAN MANUEL kama huwezi kuona tofauti ya Magufuli na Samia utajuwa una mtindio wa ubongo, hata ukienda hospitali huwezi kupona.Hatuna shida na misimamo ya watu,lakini tutapinga unafiki.
Huyu shqngazi anaposema Samia ni mama shupavu kwamba ameichukua nchi iliyoharibiwa na Maghu,sasa tujiulize wakati Maghu anaharibu nchi,Samia alikuwa wapi?
Kama Ccm ya Samia imekuwa shetsni na imeharibu uchumi wa nchi hii,haiwezekani,alipoingia Mzenj tu,tayari ccm imekuwa maraika! kama shqngazi amebadili mtazamo kwa vile aliyepo Ikulu ni mzenj, tunaweza tukaelewa, kwamba hapa Kuna asari ya kulamba, lakini asitake kutuaminisha kwamba Kuna tofauti ya Samia na "presidency" uraisi wa nchi hii kama taasisi
Jinsi alivyomtwanga Ndugsi, jinsi alivyotengrneza kesi ya ugaidi ya Mbowe, Samia ni Hana tofauti na Maghu, wote ni wezi tu,