Fatma Karume aendeleza spana kwa CHADEMA, awaambia "Hamnitishi na sikuogopeni"

Menopause inampa msongo wa mawazo viongozi wa Chadema wameamua kumpuuza maana ukibishana na chizi watu watashindwa kuona tofauti kati yenu
 
Acha upotoshaji.Au haujui kusoma,kuchukua maudhui na kuyatafsiri?
 
Kwani CHADEMA ikichanwa kuna shida gani ?

Wakikosea wasiambiwe ? Wao ni kina nani ? Tena hapa kwa Lowassa ndio walionekana nyumbu kabisa. Siku hizi wapo tu hawana hata agenda, CC ya CHADEMA ilistahili kuvunjwa kwa mistake hii waliyoifanya ya kumpokea Lowassa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…