Fatma Karume ajipanga kukazia hukumu dhidi ya Musiba

Fatma Karume ajipanga kukazia hukumu dhidi ya Musiba

Kama ndivyo, Shangazi hashindwi kukazia hukumu hapo Bara..
Na ya mh. Membe je?
Mkuu
Watu wamepanikishwa sana na hii hukumu.

Mmoja mmoja wanaanza kujitokeza kwa kivuli cha kumuonea huruma Musiba.

Seems wakati anawachafua watu, hakuwa peke yake, lazima alikuwa na contents creators na kadhalika.

Je katika hukumu MVJAPISHAJJ amepona kweli?
 
Mkuu
Watu wamepanikishwa sana na hii hukumu.

Mmoja mmoja wanaanza kujitokeza kwa kivuli cha kumuonea huruma Musiba.

Seems wakati anawachafua watu, hakuwa peke yake, lazima alikuwa na contents creators na kadhalika.

Je katika hukumu MVJAPISHAJJ amepona kweli?
Hahaha..
Sijaona hukumu, ila kwa kawaida mchapishaji ni mhusika kamili.
Si ajabu waliaji na wasaga meno ni wengi hapa!
 
Hahaha..
Sijaona hukumu, ila kwa kawaida mchapishaji ni mhusika kamili.
Si ajabu waliaji na wasaga meno ni wengi hapa!
Wakati wanakenua kipindi zinatoka chapisho za kuchafua walijiona miamba sana.

Najaribu kumshawishi Maxence Melo naye akafungue kesi ya kudai fidia kwa sababu naye ni mhanga wa mdomo chafuzi wa Musiba.
 
Kwani rais wako ni raia wa wapi?
Uraisi wa muungano ni jambo la muungano lakini mambo ya vyombo vya habari sio mambo ya muungano kila nchi iko kivyake ina sheria zake na usajili wake na mawaziri wake

Musiba ni mwandishi wa habari na magazeti yake usajili wake ni wa nchi ya Tanganyika sio nchi ya nje ya Zanzibar
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imempatia Fatma Karume Hukumu ya kesi yake aliyoshinda dhidi ya Musiba.

Hukumu hiyo inampa haki Shangazi kukazia hukumu ili kukamilisha safari ya kupata haki zake baada ya kuchafuliwa vilivyo na bwana Musiba ambaye kwa sasa ameenda mafichoni kusikojulikana

Kupitia akaunti yake ya twitter, Fatma Karume ameweka wazi kuwa, mwaka huu 2022 atahakikisha anakazia hukumu ili alipwe stahiki zake.

Swali la.kujiuliza. endapo bwana Musiba atashindwa kulipa, ama.hata kama.mali zake zikikusanywa na kuonesha hana uwezo wa kulipa kiwango hicho. Nini kitajiri?

Jasusi mbobezi naye ameonekana kufuatilia hukumu yake ili aweze kukazia madai ya haki zakeView attachment 2092335

View attachment 2092336
Wale waliokuwa wakimshsbikia Musiba na kumkejeri shangazi wajitokeze kumsaidia Musiba kwa kuifuta kesi na ushindi.
 
Ni sawa na Mtanzania kufungua kesi Tanzania kushtaki gazeti linalochapisha habari japan na lililosajiliwa nchi huru ya Japani kuwa limemkashfu na mahakama ya Tanzania ikalihukumu hilo gazeti kuwa limlipe fidia huyu raia wa nchi huru ya Tanzania !!!
Mfano wa Japan na Tanzania sio sawa na Zanzibar na Tanzania. Unapotosha kwa makusudi
 
Mfano wa Japan na Tanzania sio sawa na Zanzibar na Tanzania. Unapotosha kwa makusudi
Zanzibar ni nchi kamili nenda kasome katiba ya Zanzibar inaeleza wazi kabisa bila kumeza maneno kuwa Zanzibar ni nchi
 
Zanzibar na Tanganyika zina mikataba ya kubadilishana wahalifu.

Lakini inawezekana una hoja hapa. Kwa nini usitengeneze defence team kumtetea Musiba? Hii hoja inaweza kuzungumzika Mahakama ya Rufaa

Vipi kuhusu kuhusu dude zito linalokuja la Jasusi Mbobezi? Mahakama ina jurisdiction kumhukumu Musiba pia?
Hajui wale mashehe wa Zanzibar waliletwa kwenye mahabusu za bara.... Au anamfahamu Aboud Jumbe?
 
Fatima Karume alifungua hiyo kesi mahakama ya nchi huru ya Zanzibar ambayo ina had I jaji mkuu wake

Msiba ni mwanahabari aliye nchi ya Tanganyika yeye wala sio raia wa Zanzibar na hana mpango wa kuwa raia wa nchi ya Zanzibar

Pili Musiba na vyombi vyake vya habari. Vimesajiliwa Wizara ya habari ya Tanganyika.

Mambo ya habari si mambo ya muungano kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ni sawa na Mtanzania kufungua kesi Tanzania kushtaki gazeti linalochapisha habari japan na lililosajiliwa nchi huru ya Japani kuwa limemkashfu na mahakama ya Tanzania ikalihukumu hilo gazeti kuwa limlipe fidia huyu raia wa nchi huru ya Tanzania !!!

Hiyo hukumu anayokazia nchi za nje kwenye nchi ya nje ya Zanzibar yenye katiba yake,Raisi wake,Jaji mkuu wake na wimbo wa taifa wake watajuana huko huko akazie atakavyo .
Unateseka ukiwa wapi? Kwahiyo unataka kusema wewe unajua sheria zaidi ya Mahakama kuu ya Tanzania?

Watoto wa mwendazake mnataabika sana
 
Huyu mwanamama mda mwingine unaweza kudhani ni mwezi mchanga anajilopokeaga sana anajiona muongeaji huku hajui kuongea, juzi kabishana na dada mmoja na kusema eti tanzania 60% ni waislam ndipo nilipoona huyu kichaa yeye anafikiri bara ni zenji🙄🙄🙄🙄
 
Fatima Karume alifungua hiyo kesi mahakama ya nchi huru ya Zanzibar ambayo ina had I jaji mkuu wake

Msiba ni mwanahabari aliye nchi ya Tanganyika yeye wala sio raia wa Zanzibar na hana mpango wa kuwa raia wa nchi ya Zanzibar

Pili Musiba na vyombi vyake vya habari. Vimesajiliwa Wizara ya habari ya Tanganyika.

Mambo ya habari si mambo ya muungano kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ni sawa na Mtanzania kufungua kesi Tanzania kushtaki gazeti linalochapisha habari japan na lililosajiliwa nchi huru ya Japani kuwa limemkashfu na mahakama ya Tanzania ikalihukumu hilo gazeti kuwa limlipe fidia huyu raia wa nchi huru ya Tanzania !!!

Hiyo hukumu anayokazia nchi za nje kwenye nchi ya nje ya Zanzibar yenye katiba yake,Raisi wake,Jaji mkuu wake na wimbo wa taifa wake watajuana huko huko akazie atakavyo .
Wale Masheikh wa Uamsho waliokaa jela za Tanganyika miaka nane walikua wanatoka nchi gani? naomba jibu
 
Mkuu
Watu wamepanikishwa sana na hii hukumu.

Mmoja mmoja wanaanza kujitokeza kwa kivuli cha kumuonea huruma Musiba.

Seems wakati anawachafua watu, hakuwa peke yake, lazima alikuwa na contents creators na kadhalika.

Je katika hukumu MVJAPISHAJJ amepona kweli?
tupe source mkuu ,habari bila source ni saw na uongo [emoji3][emoji3]
 
Wakati wanakenua kipindi zinatoka chapisho za kuchafua walijiona miamba sana.

Najaribu kumshawishi Maxence Melo naye akafungue kesi ya kudai fidia kwa sababu naye ni mhanga wa mdomo chafuzi wa Musiba.
Tuonesheni jinsi alivyowachafua hao watu
 
Fatima Karume alifungua hiyo kesi mahakama ya nchi huru ya Zanzibar ambayo ina had I jaji mkuu wake

Msiba ni mwanahabari aliye nchi ya Tanganyika yeye wala sio raia wa Zanzibar na hana mpango wa kuwa raia wa nchi ya Zanzibar

Pili Musiba na vyombi vyake vya habari. Vimesajiliwa Wizara ya habari ya Tanganyika.

Mambo ya habari si mambo ya muungano kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ni sawa na Mtanzania kufungua kesi Tanzania kushtaki gazeti linalochapisha habari japan na lililosajiliwa nchi huru ya Japani kuwa limemkashfu na mahakama ya Tanzania ikalihukumu hilo gazeti kuwa limlipe fidia huyu raia wa nchi huru ya Tanzania !!!

Hiyo hukumu anayokazia nchi za nje kwenye nchi ya nje ya Zanzibar yenye katiba yake,Raisi wake,Jaji mkuu wake na wimbo wa taifa wake watajuana huko huko akazie atakavyo .
Na Fatma kama mwanasheria tena mzoefu hili halijui au wakati anafungua kesi huko Zenji hili hakulijua?
 
Unateseka ukiwa wapi? Kwahiyo unataka kusema wewe unajua sheria zaidi ya Mahakama kuu ya Tanzania?

Watoto wa mwendazake mnataabika sana
Acha kudakia vitu bila kusoma mimi sijaongelea popote mahakama kuu ya Tanzania wewe hata kusoma hujui?
 
Fatima Karume alifungua hiyo kesi mahakama ya nchi huru ya Zanzibar ambayo ina had I jaji mkuu wake

Msiba ni mwanahabari aliye nchi ya Tanganyika yeye wala sio raia wa Zanzibar na hana mpango wa kuwa raia wa nchi ya Zanzibar

Pili Musiba na vyombi vyake vya habari. Vimesajiliwa Wizara ya habari ya Tanganyika.

Mambo ya habari si mambo ya muungano kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ni sawa na Mtanzania kufungua kesi Tanzania kushtaki gazeti linalochapisha habari japan na lililosajiliwa nchi huru ya Japani kuwa limemkashfu na mahakama ya Tanzania ikalihukumu hilo gazeti kuwa limlipe fidia huyu raia wa nchi huru ya Tanzania !!!

Hiyo hukumu anayokazia nchi za nje kwenye nchi ya nje ya Zanzibar yenye katiba yake,Raisi wake,Jaji mkuu wake na wimbo wa taifa wake watajuana huko huko akazie atakavyo .
Una akili zaidi kushinda Mahakama iliyoamua hivyo??
 
Back
Top Bottom