Fatma Karume ajipanga kukazia hukumu dhidi ya Musiba

Fatma Karume ajipanga kukazia hukumu dhidi ya Musiba

Hajui wale mashehe wa Zanzibar waliletwa kwenye mahabusu za bara.... Au anamfahamu Aboud Jumbe?
Swali kawaulize Zanzibar ambao ndio waliowaleta Tanzania bara hao wazanzibari wenzao Jumbe na hao mashehe unataka watanganyika tuwajibie wazanzibari? Jumbe alikuwa Raisi wao na hao mashehe walikuwa mashehe wao wa nchi yao huru nchi ya Zanzibar wakawaleta Tanganyika waulize wenyewe sio sisi watanganyika
 
Zanzibar na Tanganyika zina mikataba ya kubadilishana wahalifu.

Lakini inawezekana una hoja hapa. Kwa nini usitengeneze defence team kumtetea Musiba? Hii hoja inaweza kuzungumzika Mahakama ya Rufaa

Vipi kuhusu kuhusu dude zito linalokuja la Jasusi Mbobezi? Mahakama ina jurisdiction kumhukumu Musiba pia?
Jasusi gani mbobezi huyo alielizwa na mjanja Zitto Kabwe?

Huyu ni mwizi tu.na ujanja wake uliishia pale interpol walipozifunga akaunti zote zilizokuwa na utangamano na Muamar Ghaddafi.

Hana lolote huyo.
 
tupe source mkuu ,habari bila source ni saw na uongo [emoji3][emoji3]
Akaunti ya Fatma Karume ya twitter ipo verrified.

Nenda post ya kwanza nakili handle yake kisha kamtembelee uone kama nadanganya.

Kumbuka yatima hadeki
 
Tuonesheni jinsi alivyowachafua hao watu
Kwa hiyo unataka kusema kuwa Mahakama ilisikiliza shauri ambalo halina ushahidi?

Wewe fahamu hukumu imetoka anza kutembeza bakuli kuokoa figo za mtu zisipigwe mnada
 
Ni mifano inafanana sema kichwa chako kigumu kuelewa , nahis ww ni F material [emoji3]
Mashehe wa Uamsho walipofutiwa kesi yao walikuwa mahabusu ipi?

Kwa hiyo unatuambia mwizi wa kuku Wa japan anaweza kushtakiwa nchi nyingine?

Acha kujifanya hamnazo
 
Jasusi gani mbobezi huyo alielizwa na mjanja Zitto Kabwe?

Huyu ni mwizi tu.na ujanja wake uliishia pale interpol walipozifunga akaunti zote zilizokuwa na utangamano na Muamar Ghaddafi.

Hana lolote huyo.
Mkuu
Naona umeandika kwa uchungu mkubwa.

Tengenezeni defence team kabla mamjo hayajaharibika
 
Kwa hiyo unataka kusema kuwa Mahakama ilisikiliza shauri ambalo halina ushahidi?

Wewe fahamu hukumu imetoka anza kutembeza bakuli kuokoa figo za mtu zisipigwe mnada
Kwan wote walio jera wana hatia ? au hawakuhukumiwa mahakamani?
 
Mashehe wa Uamsho walipofutiwa kesi yao walikuwa mahabusu ipi?

Kwa hiyo unatuambia mwizi wa kuku Wa japan anaweza kushtakiwa nchi nyingine?

Acha kujifanya hamnazo
narudia tena ww ni F material , muungano wetu una mipaka ,wale kesi yao inahusu maswala ya kiusalama wa muungano yaan wachochezi so kesi zao zinashukughulikiwa na vyombo vya dola vya muungano , Wewe ni F material [emoji3][emoji3]
 
Akaunti ya Fatma Karume ya twitter ipo verrified.

Nenda post ya kwanza nakili handle yake kisha kamtembelee uone kama nadanganya.

Kumbuka yatima hadeki
Yaan unamsusia mbuzi muuza supu , unategemea nn ? nipe source ya watu walio nje ya huo mfalakano ili na sis tujue tunasimama wap , watz tunajielewa siku hz hatuburuzw km magunia [emoji3]
 
Fatima Karume alifungua hiyo kesi mahakama ya nchi huru ya Zanzibar ambayo ina had I jaji mkuu wake

Msiba ni mwanahabari aliye nchi ya Tanganyika yeye wala sio raia wa Zanzibar na hana mpango wa kuwa raia wa nchi ya Zanzibar

Pili Musiba na vyombi vyake vya habari. Vimesajiliwa Wizara ya habari ya Tanganyika.

Mambo ya habari si mambo ya muungano kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ni sawa na Mtanzania kufungua kesi Tanzania kushtaki gazeti linalochapisha habari japan na lililosajiliwa nchi huru ya Japani kuwa limemkashfu na mahakama ya Tanzania ikalihukumu hilo gazeti kuwa limlipe fidia huyu raia wa nchi huru ya Tanzania !!!

Hiyo hukumu anayokazia nchi za nje kwenye nchi ya nje ya Zanzibar yenye katiba yake,Raisi wake,Jaji mkuu wake na wimbo wa taifa wake watajuana huko huko akazie atakavyo .
umeandika nn Sasa Fatma aise kua ana adabu
 
Ni mifano inafanana sema kichwa chako kigumu kuelewa , nahis ww ni F material [emoji3]
Wewe ndio “fa fa fa “ pro max

Unataka kusema “Tanganyika” sasa inaongozwa na mamluki kutokea “Nchi” ya mashariki ya mbali ya Zanzibar?

Narudia kusema: Mfano wa Japan na Tanzania kimantiki hauwezi kulinganishwa na Zanzibar versus Tanzania. Kama hulielewi hili then you need your head examined
 
Mambo ya habari si mambo ya muungano kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Unamkumbuka Mh. Mohamed Seif Khatib (rip)..
Huyu alikuwa mbunge wa jimbo la Uzini Znz, na awamu ya 4 alikuwa waziri wa habari Bara kwa miaka kadhaa.
Kama mambo ya habari si ya muungano, ina maana Watanganyika walipigwa changa la macho?!
 
Hiyo ndiyo inaitwa omuntu omuntu yaani man to man.

Musiba sasa hivi anaishi maisha magumu sana kuliko alivyokuwa anaishi wakati yupo channel ten
Kwani anaishije kwa sasa na kwa nini asiende kukopa kwa yule basha wake wa Msoga aliyemlipia mahari
 
Back
Top Bottom