Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Duu Hadi watoto wa wadosi nao wanaumizwa?
 
kwa bahati naifahamu familia ya Karume na naifahamu familia ya mumewe ila kiukweli yule jamaa alimvumilia sana Fatma. Na hao watoto sio wa nje ni wa mke mwengine wa jamaa ambae alimuoa ili kuepuka balaa la huyu kichaa Fatma
 
Ndio Mkuu Single mazas wamepitia mengi au kwa ujinga wao au kwa bahati Mbaya wengi wa a maumivu sana...
Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
 
Ndio Mkuu Single mazas wamepitia mengi au kwa ujinga wao au kwa bahati Mbaya wengi wa a maumivu sana...
Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
 
"MWANAUME ANAYERUDI SAA 10 ALFAJIRI"
KAWAIDA MWANAUME ANAKAA MBALI NA MWANAMKE MWENYE KELELE

Methali 21:19​

Afadhali kuishi jangwani, kuliko kukaa na mwanamke mgomvi na msumbufu.
 
Hayo ni yake.
Tumeona upande mmoja hatujaona upande wa pili.
Tuletee na mumewe tusikie upande wa pili.
Weee. Usiombe kuyaskia ya upande wa pili.
Inauma wewe kukuta mkeo ana li dildo likubwa vile, full charge na bado analalamika humridhishi!
anavuta bange, sigara na pombe kali.
na mwaka mzima hujawai kuskia neno lenye loyalty.
Lazma 'constructive desertion' itokee.
Hasa kama hakuna tako la kushikiria ukae In hell.
 
Sio kua hana akili Kuna watu hawako interested na material things wako na utu na heshima zao
Mpk mlume kaamua kuachia ngazi jua maji ya shingooo hayo
 
Judging from one side viewpoint
 
Sijui kuhusu mume wake. Namkubali sana Fatma ila siwezi kuoa mke mwanasheria kama Fatma maana ataleta mambo ya sheria kwenye ndoa. Wanakuwa wasumbufu wale full kusomewa vifungu hata kwenye unyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…