Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀 Mkuu halafu ukiwa na mipango kabambe hata haitokeagi aisee.Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
Kwa mdomo ule, huyo jamaa alitakiwa arudi saa mbili asubuhi kabisa.Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".
View attachment 2866860
Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.
Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Unajua sababu ya mumewe kurudi alfajiri na kuzalisha nje ya ndoa Kama mbuzi?Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao
Hako kajamaa hakakuwa Lofa, huyo shangazi kwa status yake hawezi attract mtu wa mentality kama zako.Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
Sawa,ukitufunua mioyo unaweza anza kulia ilivyo na maumivuNdio Mkuu Single mazas wamepitia mengi au kwa ujinga wao au kwa bahati Mbaya wengi wa a maumivu sana...
Maana yake huo mume wake hana leadership skills… kuwa na mwananke maana yake ni usingizi, kuna kanuni wanaume na waifahamu , muoneshe mwanamke unamjali hata Kama huna kitu, hachomoki ngoo… mguu lazima atandaze hadi usiku wa manane…kwa bahati naifahamu familia ya Karume na naifahamu familia ya mumewe ila kiukweli yule jamaa alimvumilia sana Fatma. Na hao watoto sio wa nje ni wa mke mwengine wa jamaa ambae alimuoa ili kuepuka balaa la huyu kichaa Fatma
Mimi namhitaji maana ni mwanasheria mwenzake, tutaburuzana Kwa vifungu, kanuni, rules and procedure na Mguu lazima atandaze hadi Kwa vifungu vya kisheriaSijui kuhusu mume wake. Namkubali sana Fatma ila siwezi kuoa mke mwanasheria kama Fatma maana ataleta mambo ya sheria kwenye ndoa. Wanakuwa wasumbufu wale full kusomewa vifungu hata kwenye unyumba
🤣🤣🤣Weee. Usiombe kuyaskia ya upande wa pili.
Inauma wewe kukuta mkeo ana li dildo likubwa vile, full charge na bado analalamika humridhishi!
anavuta bange, sigara na pombe kali.
na mwaka mzima hujawai kuskia neno lenye loyalty.
Lazma 'constructive desertion' itokee.
Hasa kama hakuna tako la kushikiria ukae In hell.
🤣🤣🤣
Mme wake no yule anayemiliki zile primier care pharmacyMwenye picha ya X-anko aweke.
Ndio maisha hayo..Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".
View attachment 2866860
Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.
Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Ftm anaongea sana + Ana gubuHayo ni yake.
Tumeona upande mmoja hatujaona upande wa pili.
Tuletee na mumewe tusikie upande wa pili.
🤣🤣🤣Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
🤣🤣🤣Sijui kuhusu mume wake. Namkubali sana Fatma ila siwezi kuoa mke mwanasheria kama Fatma maana ataleta mambo ya sheria kwenye ndoa. Wanakuwa wasumbufu wale full kusomewa vifungu hata kwenye unyumba
kweli ishia hapo mkuu ant ni mtata.Mme wake no yule anayemiliki zile primier care pharmacy
Dr---- binafsi namjuwa vzr + maswahaiba aliyopitia kwa bi ftm
Ngoja niishie hapa
Ova
🤣🤣🤣Kwa mdomo ule, huyo jamaa alitakiwa arudi saa mbili asubuhi kabisa.
🤣🤣🤣Shangazi Fatma, njoo pm humu, Mimi nimekupenda, njoo tuendeleze maisha. Haina haja ya kutangaza yako ya ndani, nitakutuliza tu kukupa furaha ya moyo wako…njoo haraka - nakusubiri… wewe ni embe dodo…