Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Bora shangazi kaweka wazi mana baadhi ya sisi wanawake huwa tunaitaka ile heshima tu huku yaliyomo humo ndoani ni mazito ambayo yanaeza epukika na maisha mengine yakaendelea fureshi kabisa.

#Mibadonimolakini. 😀
 
Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
😀😀 Mkuu halafu ukiwa na mipango kabambe hata haitokeagi aisee.
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".

View attachment 2866860

Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.

Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Kwa mdomo ule, huyo jamaa alitakiwa arudi saa mbili asubuhi kabisa.
 
Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao
Unajua sababu ya mumewe kurudi alfajiri na kuzalisha nje ya ndoa Kama mbuzi?
Huenda alichoka kuishi na mwanamke jeuri na mwanaharakati hadi ndani ya ndoa.
Hiyo kauli ya shangazi ni one side story. Tungesikia na kwa mumewe.
 
Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
Hako kajamaa hakakuwa Lofa, huyo shangazi kwa status yake hawezi attract mtu wa mentality kama zako.
 
kwa bahati naifahamu familia ya Karume na naifahamu familia ya mumewe ila kiukweli yule jamaa alimvumilia sana Fatma. Na hao watoto sio wa nje ni wa mke mwengine wa jamaa ambae alimuoa ili kuepuka balaa la huyu kichaa Fatma
Maana yake huo mume wake hana leadership skills… kuwa na mwananke maana yake ni usingizi, kuna kanuni wanaume na waifahamu , muoneshe mwanamke unamjali hata Kama huna kitu, hachomoki ngoo… mguu lazima atandaze hadi usiku wa manane…
 
Sijui kuhusu mume wake. Namkubali sana Fatma ila siwezi kuoa mke mwanasheria kama Fatma maana ataleta mambo ya sheria kwenye ndoa. Wanakuwa wasumbufu wale full kusomewa vifungu hata kwenye unyumba
Mimi namhitaji maana ni mwanasheria mwenzake, tutaburuzana Kwa vifungu, kanuni, rules and procedure na Mguu lazima atandaze hadi Kwa vifungu vya kisheria
 
Weee. Usiombe kuyaskia ya upande wa pili.
Inauma wewe kukuta mkeo ana li dildo likubwa vile, full charge na bado analalamika humridhishi!
anavuta bange, sigara na pombe kali.
na mwaka mzima hujawai kuskia neno lenye loyalty.
Lazma 'constructive desertion' itokee.
Hasa kama hakuna tako la kushikiria ukae In hell.
🤣🤣🤣
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".

View attachment 2866860

Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.

Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Ndio maisha hayo..
 
Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
🤣🤣🤣
Sijui kuhusu mume wake. Namkubali sana Fatma ila siwezi kuoa mke mwanasheria kama Fatma maana ataleta mambo ya sheria kwenye ndoa. Wanakuwa wasumbufu wale full kusomewa vifungu hata kwenye unyumba
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom