Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili weweHako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
Wee Ndo huna akili kabisaHako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
Sahii kabisa,mi Kuna kipind nlkua na mwanamke ana makelele, na akianza makelele yake, nampotezea hata wiki ili asinivurugie mood yangu."MWANAUME ANAYERUDI SAA 10 ALFAJIRI"
KAWAIDA MWANAUME ANAKAA MBALI NA MWANAMKE MWENYE KELELE
Methali 21:19
Afadhali kuishi jangwani, kuliko kukaa na mwanamke mgomvi na msumbufu.
🤣🤣🤣Hata ingekuwa mimi,pale hakuna mwanamke wa kunishawishi nirudi mapema nyumbani, sura hamna, tako hamna halafu unaleta ujuaji kupitiliza wallah mimi ningekuwa narudi kubadili nguo tu na kuacha kodi ya meza
Uyo jamaa ana element za kimarioo[emoji29]Sio kua hana akili Kuna watu hawako interested na material things wako na utu na heshima zao
Mpk mlume kaamua kuachia ngazi jua maji ya shingooo hayo
Kama tulikuwa wote!Wee Ndo huna akili kabisa
🤣🤣🤣Kwa inavyonekana aunt alikuwa analeta ujuaji mpaka ktk ndoa 😆😆
Jamaa akaona ngoja ampe maelekezo how men act
Ha ha ha....Kwa mdomo ule, huyo jamaa alitakiwa arudi saa mbili asubuhi kabisa.
🤣🤣🤣Tunafurahishwa na uwepo wake Sasa tumempata wakili wetylu
Ha ha ha....aliamua kumpiga matukio heavy ili akili imkae[emoji4]Kwa inavyonekana aunt alikuwa analeta ujuaji mpaka ktk ndoa [emoji38][emoji38]
Jamaa akaona ngoja ampe maelekezo how men act
🤣🤣🤣Ha ha ha....aliamua kumpiga matukio heavy ili akili imkae[emoji4]
Aaah wapi, hivi kwa utata wa ant unadhan ungeweza kumtuliza?Pole shangazi ulikosea kuchagua uliolewa na mvulana na sio mwanaume
Vijana wadogo humu JF ni tabu tupu. Wanakurupuka ku conclude. Kwa Mwanaume ambaye ameishaoa, hawezi kuyachukulia maanani maneno ya Fatma. Inaonesha anaanza kuzeeka na sasa anajuta kwa kujifanya mjanja akakosa ndoa.Aaah wapi, hivi kwa utata wa ant unadhan ungeweza kumtuliza?
👏👏👏Vijana wadogo humu JF ni tabu tupu. Wanakurupuka ku conclude. Kwa Mwanaume ambaye ameishaoa, hawezi kuyachukulia maanani maneno ya Fatma. Inaonesha anaanza kuzeeka na sasa anajuta kwa kujifanya mjanja akakosa ndoa.