Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
Huna akili wewe
 
Hata biblia na kuran vinasema
"Mwanamke mpumbavu uvunja ndoa yake mwnyw"

Hivi unadhan Mungu alikua mjinga?
Hivi unadhan kwanini hakusema mwanaume?

Huenda hata kurud alfajiri na kuzaa nje chanzo kikawa ni mwanamke mwnyw.
 
Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
Wee Ndo huna akili kabisa
 
"MWANAUME ANAYERUDI SAA 10 ALFAJIRI"
KAWAIDA MWANAUME ANAKAA MBALI NA MWANAMKE MWENYE KELELE

Methali 21:19​

Afadhali kuishi jangwani, kuliko kukaa na mwanamke mgomvi na msumbufu.
Sahii kabisa,mi Kuna kipind nlkua na mwanamke ana makelele, na akianza makelele yake, nampotezea hata wiki ili asinivurugie mood yangu.
 
Vijana wadogo humu JF ni tabu tupu. Wanakurupuka ku conclude. Kwa Mwanaume ambaye ameishaoa, hawezi kuyachukulia maanani maneno ya Fatma. Inaonesha anaanza kuzeeka na sasa anajuta kwa kujifanya mjanja akakosa ndoa.
👏👏👏
 
Back
Top Bottom