bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Hakunaga mwanamke mwenye mdomo amedumu na ndoa labda ndoa za distance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
One should know the buttered side if his slice of bread.Huna akili wewe
Kwanini mkuu DeepPond ? Hua nakuamini Sana kwenye changamoto za ndoa.Wee Ndo huna akili kabisa
Afadhali hii comment imetoka humu maana upande wa pili hatukuona post yoyote.kwa bahati naifahamu familia ya Karume na naifahamu familia ya mumewe ila kiukweli yule jamaa alimvumilia sana Fatma. Na hao watoto sio wa nje ni wa mke mwengine wa jamaa ambae alimuoa ili kuepuka balaa la huyu kichaa Fatma
Mwanamke akishakuwa na mdomo hili ni rahisi sana kwa sisi wanaume kulifanya.Unajua sababu ya mumewe kurudi alfajiri na kuzalisha nje ya ndoa Kama mbuzi?
Huenda alichoka kuishi na mwanamke jeuri na mwanaharakati hadi ndani ya ndoa.
Hiyo kauli ya shangazi ni one side story. Tungesikia na kwa mumewe.
Afadhali mkuu nawe umeweka jambo kwenye hili, ni wazi majibu tayari tumeshayapata na kwa jinsi Fatma alivyo wala haihitaji utetezi mwingi kumjua.Mme wake no yule anayemiliki zile primier care pharmacy
Dr---- binafsi namjuwa vzr + maswahaiba aliyopitia kwa bi ftm
Ngoja niishie hapa
Ova
Lazima atafutiwe msaidizi tuu kwa mtu mwenye kujielewa.Ftm anaongea sana + Ana gubu
Ova
Kabisa na ndio maana akaongeza mke mwingine.Huyo mume kwanini alikua anarudi saa kumi usiku??
Naamini mazingira ya nyumbani hayakuwa yanavutia kuwahi.
Yes mkuu huo ni ukweli mchungu.Msimbe akikwambia maneno 10 khs aliyekua Mumewe, chukua 2 mengine mwachie mwnyw
Ukikutana na changamoto ndio utaelewa kwa nini watu wanaamua kuzaa nje au kuongeza mke.Mwanaume unazaaje nje kama mbuzi hali una ndoa yako
Naungana na wewe mkuu, tunahitaji sana amani tunaporudi manyumbani mwetu ila kukiwa na kelele basi ndio hivyo kinachofatia ni kupewa lawama.Hakunaga mwanamke mwenye mdomo amedumu na ndoa labda ndoa za distance
Si uandike lugha unayoijua! Nani kakulazimisha uandike lugha ambayo huijui?One should know the buttered side if his slice of bread.
Wanaume wenzangu!kabla hatujamhukumu mume wa Fatma!tujiulize kwa hulka ya Fatma kuna mwanaume mwenye misimamo yake atakubali kuishi nae kweli?lbd wanaume wenye kupenda kupelekwapelekwa lkn mwanaume mwenye principles huezi kuishi na mwanamke mwenye hulka za fatma!Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".
View attachment 2866860
Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.
Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Wanawake wana wadharau wanaume wa sampuli yako. Wale wa kujipendekeza kiasi cha kulamba watu miguu.Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
nasikia mafemist wanasemaga doggy ni udhalilishajiSijui kuhusu mume wake. Namkubali sana Fatma ila siwezi kuoa mke mwanasheria kama Fatma maana ataleta mambo ya sheria kwenye ndoa. Wanakuwa wasumbufu wale full kusomewa vifungu hata kwenye unyumba
hahahahahanasikia mafemist wanasemaga doggy ni udhalilishaji
Bora shangazi kaweka wazi mana baadhi ya sisi wanawake huwa tunaitaka ile heshima tu huku yaliyomo humo ndoani ni mazito ambayo yanaeza epukika na maisha mengine yakaendelea fureshi kabisa.
#Mibadonimolakini. [emoji3]
Huyu Ana matatizo sana tena siyo madogo,alafu ni much know sanaAfadhali hii comment imetoka humu maana upande wa pili hatukuona post yoyote.
Mwanamke akishakuwa na mdomo hili ni rahisi sana kwa sisi wanaume kulifanya.
Afadhali mkuu nawe umeweka jambo kwenye hili, ni wazi majibu tayari tumeshayapata na kwa jinsi Fatma alivyo wala haihitaji utetezi mwingi kumjua.
Lazima atafutiwe msaidizi tuu kwa mtu mwenye kujielewa.
Kabisa na ndio maana akaongeza mke mwingine.
Yes mkuu huo ni ukweli mchungu.
Ukikutana na changamoto ndio utaelewa kwa nini watu wanaamua kuzaa nje au kuongeza mke.
Naungana na wewe mkuu, tunahitaji sana amani tunaporudi manyumbani mwetu ila kukiwa na kelele basi ndio hivyo kinachofatia ni kupewa lawama.
Feminist nao ni binadamu hawawezi kuikimbia NATURE. Kiasili lazima binadamu awe na mtu anayempenda kimapenzi. Kinachomfanya Shangazi kuropoka ni kumiss mahaba ya ex wake.Huyu Ana matatizo sana tena siyo madogo,alafu ni much know sana
Majirani tu na mashamba mitaa ya kwao wanajuwa changamoto
Zake
Mkuu kuwajua watu raha sana
Ukiwaona wanavyongea kwenye media au mbele ya jamii unaweza sema ni watu haswa 😄
Kumbe .....
Fatma na dr O walishaaxhana muda sana nashangaa sahv anakuja na kuponda ex wake
Labda kammiss huwezi juaa
Ova