Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Yani huyo Fatuma hata angesema nini hakuna mwanaume angeweza kuishi na mwanamke kama yeye! Kwanza Dr alijitahidi sana….! Mtu umnyime unyumba na umpigie makelele kisa mtoto wa Rais ?
 
Huyu Ana matatizo sana tena siyo madogo,alafu ni much know sana
Majirani tu na mashamba mitaa ya kwao wanajuwa changamoto
Zake
Mkuu kuwajua watu raha sana
Ukiwaona wanavyongea kwenye media au mbele ya jamii unaweza sema ni watu haswa 😄
Kumbe .....
Fatma na dr O walishaaxhana muda sana nashangaa sahv anakuja na kuponda ex wake
Labda kammiss huwezi juaa

Ova
Na yule mtoto wa Dr bingwa nae huwa nawaza nae ni wale wale kama rafikiye.
Ukweli tabia ya mtu haijifichi, na Fatma kweli kammisi huyo x.
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".

View attachment 2866860

Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.

Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Job true true
 
Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
Wewe utakuwa adriz tu ama Mufti kuku The Infinity
 
Huyu mwanamke mnabyomuona nyie anaweza kuwa na utii wa kutandika kitanda kweli?? Aweza kukuambia ngoja asome katiba kwanza aone kifungu ndio atandike saaa kama ni wewe hiyo nyumba ungerudi saa ngapi?? Kwanza huyu ndgu yetu alikua anawahi saaaaanaaaa saa 10??? Mm ningerudi saa 2 nabadili nguo nduki...
 
Wanaume wenzangu!kabla hatujamhukumu mume wa Fatma!tujiulize kwa hulka ya Fatma kuna mwanaume mwenye misimamo yake atakubali kuishi nae kweli?lbd wanaume wenye kupenda kupelekwapelekwa lkn mwanaume mwenye principles huezi kuishi na mwanamke mwenye hulka za fatma!
Ni funzo kwamba binti alelewe kuwa Mke wa mtu. Vinginevyo tafrani.
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".

View attachment 2866860

Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.

Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Mwanaume yeyote anayejitambua anao AMANI ya nafsi yake. Akiikosa hapa anaifuata kwingine!
 
Yule anayeongea sana baada ya kuachana ndo kaumia zaidi. Hilo tamko la Shangazi lina machungu na majuto mengi sana ndani yake. Aolewe na Mdude kwasababu wote ni wanaharakati wataendana.
Mdude ameandaliwa Mis Ethiopia ili amwoe.
Mdude sio mtu wa mchezomchezo hivyo aiseh.
 
Huyu mwanamke mnabyomuona nyie anaweza kuwa na utii wa kutandika kitanda kweli?? Aweza kukuambia ngoja asome katiba kwanza aone kifungu ndio atandike saaa kama ni wewe hiyo nyumba ungerudi saa ngapi?? Kwanza huyu ndgu yetu alikua anawahi saaaaanaaaa saa 10??? Mm ningerudi saa 2 nabadili nguo nduki...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom