Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Mfumo dume katika jamii ndio umetamadali, kwani siku zote mwananke hunyooshewa kidole lkn mwanaume hatazamwi makosa yake.

Kuna msemo upo usemao “hakuna changupaka bali changudoa”

Hii inamaanisha makosa ya mwanamke huwa ya ainekana zaidi kuliko makosa ayafanyayo mwanaume hasahasa kwenye suala la kutokuwa mwaminifu kwenye ndoa/mahusiano.

Ndio kwanza mwanaume anapongezwa na jamii/marafiki kwa kuwa kidume/rijali akitembeza kichapo kwa wanawake wengi. Ila upande wa pili jamii inamwona mwananke kuwa ni mhuni kwa kutembezewa kichapo na wanaume wengi
 
Hivi kwa jinsi alivyo fatma kuna mwanaume anaweza kuishi nae kweli? Maana sidhani hata mtaweza kusikilizana ataanza kufanya reference ya vifungu vya sheria kwa kila utakacho mwambia
 
Bora shangazi kaweka wazi mana baadhi ya sisi wanawake huwa tunaitaka ile heshima tu huku yaliyomo humo ndoani ni mazito ambayo yanaeza epukika na maisha mengine yakaendelea fureshi kabisa.

#Mibadonimolakini. [emoji3]
Ukisikia interview yake ,alisadiki kusema Watoto wanampenda sana baba yao kuliko yeye.

Mara nyingi baba mwenye tabia chafu, automatically watoto hupoteza bond naye.
Katika hili nahisi kuna jambo.
 
Shangazi wote huyu, mimi nilikuwa na binti hata moja ya nane ya anavyoonekana shangazi hakufika, na bado nikawa sirudi kabisa nyumbani 😂
 
Hayo ni yake.
Tumeona upande mmoja hatujaona upande wa pili.
Tuletee na mumewe tusikie upande wa pili.
Watu huwa wana angalia walipoangukia sio walipojikwaa,inawezekana huyo mwanaume alifikia hio hali baada ya kuwa mwanamke alikuwa na hizo tabia zisizoeleweka.....
 
Hako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom