Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Ukisikia interview yake ,alisadiki kusema Watoto wanampenda sana baba yao kuliko yeye.

Mara nyingi baba mwenye tabia chafu, automatically watoto hupoteza bond naye.
Katika hili nahisi kuna jambo.

Ukiisikia ile interview mpaka unaboreka,fatuma anakera kuanzia mtazamo mpaka namna anavyoongea ni mtu asiye na ile ladha ya uswahili au uafrika kabisa.
Kwa aina ile ya mwanamke kama angekuwa na mume mpaka sasa[emoji23][emoji23][emoji23],huyo jamaa alifaa aitwe bwana wa majeshi,asingekuwa mtu wa kawaida.

Kanaulizwa ulikuwa unapika kama mabinti wengine🤣🤣,enda sikia jibu.alikataaa kavu kavu NO,halafu ndio akaanza kujitetea kwamba sababu ya umri angeungua moto.

Huyu nina uhakika hata sasa kupika hajui.
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".

View attachment 2866860

Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.

Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Aseeee
 
Ukiisikia ile interview mpaka unaboreka,fatuma anakera kuanzia mtazamo mpaka namna anavyoongea ni mtu asiye na ile ladha ya uswahili au uafrika kabisa.
Kwa aina ile ya mwanamke kama angekuwa na mume mpaka sasa[emoji23][emoji23][emoji23],huyo jamaa alifaa aitwe bwana wa majeshi,asingekuwa mtu wa kawaida.

Kanaulizwa ulikuwa unapika kama mabinti wengine🤣🤣,enda sikia jibu.alikataaa kavu kavu NO,halafu ndio akaanza kujitetea kwamba sababu ya umri angeungua moto.

Huyu nina uhakika hata sasa kupika hajui.
Hahaha
 
Twende mbele turudi nyuma
Mwanaume mwenzetu katuabisha sana. Kwanza kuishi nyumba ya mwanamke, alafu unazaa nje wakati unalishwa. Aiseee nimeshangaaa mno unapata wapi nguvu ya kuzaa nje uku unalishwa? Kibaya zaidi unadirki unataka kumpokonya mali mwenza wako uliemsaliti mwenyewe, ndio dada anaweza akawa ana shida zake ila mwanaume
Mwenzetu aitwe akanywe🤣 huogopi ata kulogwa. Me siwezi mtetea maana namfaham ni chupi mkononi ila nilitegemea feza anazo, yani unakuwa chupi mkonono afu unalishwa 😅 hamna mwanamke anavumilia mwanaume anaemlisha, ukitaka heshima tafuta za kwako awadh, ona sasa unadhailishwa tunakutetea uku tumefumba macho
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".

View attachment 2866860

Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.

Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Atwambie,inakuwaje mumeo aliyekupenda akakuoa aamue kurudi saa kumi usiku? Anaanzaje kuzaa nje na wewe upo? Kwa misimamo yake ni ngumu kuishi naye
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".

View attachment 2866860

Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.

Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Usitoe hukumu bila kusikiliza na maelezo ya huyo mume wake
 
Lakini mkuu; mkewe si ndo wale waohubiri 50/50?
Mwache Mwamba aruke nayo ili bibie afeel venye ambavyo wanaume hufeel pale wanawake wasiochangia chochote huamua kuomba taraka na kuchukua kila kitu.
Twende mbele turudi nyuma
Mwanaume mwenzetu katuabisha sana. Kwanza kuishi nyumba ya mwanamke, alafu unazaa nje wakati unalishwa. Aiseee nimeshangaaa mno unapata wapi nguvu ya kuzaa nje uku unalishwa? Kibaya zaidi unadirki unataka kumpokonya mali mwenza wako uliemsaliti mwenyewe, ndio dada anaweza akawa ana shida zake ila mwanaume
Mwenzetu aitwe akanywe🤣 huogopi ata kulogwa. Me siwezi mtetea maana namfaham ni chupi mkononi ila nilitegemea feza anazo, yani unakuwa chupi mkonono afu unalishwa 😅 hamna mwanamke anavumilia mwanaume anaemlisha, ukitaka heshima tafuta za kwako awadh, ona sasa unadhailishwa tunakutetea uku tumefumba macho
 
Ki-Omari atapata shida sana kwa kuandikwa kwenye mtandao wa X
 
Back
Top Bottom