dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
usikute alikuwa late le bebezMwenye picha ya X-anko aweke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usikute alikuwa late le bebezMwenye picha ya X-anko aweke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"MWANAUME ANAYERUDI SAA 10 ALFAJIRI"
KAWAIDA MWANAUME ANAKAA MBALI NA MWANAMKE MWENYE KELELE
Methali 21:19
Afadhali kuishi jangwani, kuliko kukaa na mwanamke mgomvi na msumbufu.
Unaona umeandika kitu cha maana sanaMfumo dume katika jamii ndio umetamadali, kwani siku zote mwananke hunyooshewa kidole lkn mwanaume hatazamwi makosa yake.
Kuna msemo upo usemao “hakuna changupaka bali changudoa”
Hii inamaanisha makosa ya mwanamke huwa ya ainekana zaidi kuliko makosa ayafanyayo mwanaume hasahasa kwenye suala la kutokuwa mwaminifu kwenye ndoa/mahusiano.
Ndio kwanza mwanaume anapongezwa na jamii/marafiki kwa kuwa kidume/rijali akitembeza kichapo kwa wanawake wengi. Ila upande wa pili jamii inamwona mwananke kuwa ni mhuni kwa kutembezewa kichapo na wanaume wengi
Akili ya vijana wa DarHako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
ma feminist na secularists watakwambia huu ni unyanyasaji wa wanawake na kupitwa na wakati(ujima)Ni funzo kwamba binti alelewe kuwa Mke wa mtu. Vinginevyo tafrani.
Kwamba kulingana na kifungu namba 38 kifungu kidogo cha a-e leo hupati mbususu hahaaaaaaSijui kuhusu mume wake. Namkubali sana Fatma ila siwezi kuoa mke mwanasheria kama Fatma maana ataleta mambo ya sheria kwenye ndoa. Wanakuwa wasumbufu wale full kusomewa vifungu hata kwenye unyumba
Ila aunt ana maneno jamaniMume wake akijitokeza nishtueni
Inasemaekana Ana ,zaa zaa nnje kama mbuzi
Hivi umeisoma hiyo comment ya shangazi?Huyo ftm Ana gubu kwanza ni muda sana walishaachana kwann leo ndy azungumze
Ova
Watu kama nyie mpo tayari kuutoa sadaka uanaume wenu kisa kuoa mtoto wa raisHako ka mjamaa katakua hakana akili. Wewe unaoa mtoto wa rais halafu unatembeza kibakora chako nje? Ona Kuna wengine huko Somalia wameoa watoto wa rais, japo wanaosha vyombo lakini wanakula mema ya nchi. Wakitolewa sehemu zenye asali wanapelekwa kwenye zenye maziwa.
Mimi ngemuoa mtoto wa rais jumapili ingekua off ya wafanyakazi wote wa ndani. Kuanzia deki, kuosha vyombo, kupika ingekua Mimi ili tu huku nimevaa msuli malkia wangu ajisikie kupendwa.
NimeisomaaaaHivi umeisoma hiyo comment ya shangazi?
Ana gubu sana huyoIla aunt ana maneno jamani
NakaziaMwenye picha ya X-anko aweke.
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia".
View attachment 2866860
Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio maana akaamua kuiacha Ndoa yake.
Wale waliokuwa wanasema Shangazi ameachwa kwasababu ya Ujeuri na ufeministi nadhani wameshapata jibu lao leo.
Itapendeza sana tukisikia upande wa mume wakeHayo ni yake.
Tumeona upande mmoja hatujaona upande wa pili.
Tuletee na mumewe tusikie upande wa pili.
Hata bila kusikia upande wa pili, kuna mwanaume anaweza kukaa na huyo fedhuli?Ameongea upande wake na siku zote inajulikana hawezi kujisema vibaya, vipi kuhusu upande wa pili?
Nyumbani hapakaliki, sasa anamkashfu mitandaoni eti anazaa kama mbuzi acha aende kwa wazazi wake! Maana yake alikuwa marioo.Itapendeza sana tukisikia upande wa mume wake
Alafu walishaachana muda tuNyumbani hapakaliki, sasa anamkashfu mitandaoni eti anazaa kama mbuzi acha aende kwa wazazi wake! Maana yake alikuwa marioo.
HahaHata bila kusikia upande wa pili, kuna mwanaume anaweza kukaa na huyo fedhuli?