Fatma Karume: Bandari haijauzwa, hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai, acheni ubaguzi ni ushamba

Kuna tetesi kwamba Halima pia alipenyezewa ukwasi ili akianzishe mjengoni, kisha skipa apate gape la kutoa ufafanuzi ulio andaliwa kwa ustadi mujarab kabisa.
Hakuna mbunge aliyehongwa hakuna mtu anaweza honga mazwazwa ambayo Kila kitu husema ndio. Sasa Halima why ahongwe wakati ubunge alionao tu ni haramu? Asipofuata maelekezo anavuliwa tu kazi imeisha.
 
Hili jambo kila siku linachukua sura mpya, kuna u Tanganyika na u zanzibar kinachofuata ni swala Dini.

Tutapoteza muda kupingana kwenye maeneo hayo akili ikija kutuka sawa kila kitu kitakuwa kimeisha.
 
Daima upande wa mama unakuwa na nguvu sana, hao waarabu ni wajomba/ babu zake Fatuma ,ushamba yeye ndie mshamba zaidi pamoja na uwakili wake magumashi.
 
Yaani tunaingia mkataba na watoto wa Esau, waliouza haki yao ya uzaliwa wa kwanza kwa ajili ya msosi tu?. Hawa bado wananjaa ndiyo mana wanatafuta mahali pa kula ambapo wameipata TZ 😀😀😀😀
 
Huu mkataba tatizo ni uarabu tu.ingekuwa ni wamarekani usingesikia kelele hizi.
Sio kweli maana kama DP world kuewa bandari hizi habari zilikuwepo toka mwaka jana feb ila kilichowashtua watu ni aina ya vipengele vya mkataba. Nadhani walio wengi wanakubali kuwa bandari inahitaji kubinafsishwa kwa watu wenye uwezo lakini kwa mikataba inayoeleweka. Mbona akina tundu lissu na slaa walikuwa wanamponda kikwete kuwa kauza migodi tena kwa kusema wamarekani wanampa net halafu wakati anarudi anapishana na ndege yao angani ikiwa imebeba madini au na hao walikuwa ni waarabu hao waliokuwa wamepewa migodi?
mnahamisha tu magoli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…