Fatma Karume: Samia Suluhu hawezi kugombea URAIS 2030, Katiba inamzuia

Fatma Karume: Samia Suluhu hawezi kugombea URAIS 2030, Katiba inamzuia

Kuna watu wameanza kusema Samia hadi 2035.
Hao wanamletea uchuro sawa na ule uliomkumba hayati JPM. Kuna yule aliyekuwa mbunge wa jimbo la Katavi, mwarabu kwa mbali. Alimchuria JPM bila ya kujua, kwake ulikuwa ni uchawa kumbe kwa mwenzake ni tamko lililomletea kifo.
 
Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.

Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.

Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.

SSH hawezi kugombea URAIS 2030!

She’s barred by the constitution.

Fatma Karume aka Shangazi.
Tutabadilisha Tuli autaka uspika shida wapi%#£@!?
 
Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.

Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.

Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.

SSH hawezi kugombea URAIS 2030!

She’s barred by the constitution.

Fatma Karume aka Shangazi.
Inashangaza Wakili haelewi katiba. Mihemko tu.
 
Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.

Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.

Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.

SSH hawezi kugombea URAIS 2030!

She’s barred by the constitution.

Fatma Karume aka Shangazi.
Sasa Shangazi naye hapa anatuchanganya, ataongeleaje ya 2030 na kuacha ya 2025 hewani ? Aseme alichokuwa anataka kuwasilisha kwetu wapiga Kura. Au ndo Campaign zenyewe? Shangazi, with due respect, please elaborate further and keep us guided .
 
Katiba ni kitabu tu kichoandikwa na watu,tunaweza kukibadili akaongezewa Muda na ikiwezekana akawa life president,mikumi tena Kwa mama
 
Katiba ni kitabu tu kichoandikwa na watu,tunaweza kukibadili akaongezewa Muda na ikiwezekana akawa life president,mikumi tena Kwa mama
Kwa umri wake akiongeza 10 atakuwa president ajuza kama Mugabe.
 
Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.

Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.

Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.

SSH hawezi kugombea URAIS 2030!

She’s barred by the constitution.

Fatma Karume aka Shangazi.
ndrugu zango,
muelezeni tu Bi Fatma kwamba arilax , hakuna haja ya kupanic,

hayo yalikua ni maoni na mtazamo binafsi wa mh.waziri Lukuvi, japo pia tunaweza kufanya marekebisho kidogo ya kipengele hicho cha katiba na kumpa uwezo na kumruhusu Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania, kuendelea kuhudumu kama Rais hadi kipindi hicho alichokitaja 🐒

chadema waliweza, mpaka leo Mbowe ni chairman tangu kipindi cha mkapa hadi leo.
Naamini na nadhani waTanzania wanaweza kufanya hivyo pia 🐒
 
Back
Top Bottom