Fatma Karume: Samia Suluhu hawezi kugombea URAIS 2030, Katiba inamzuia

Fatma Karume: Samia Suluhu hawezi kugombea URAIS 2030, Katiba inamzuia

ndrugu zango,
muelezeni tu Bi Fatma kwamba arilax , hakuna haja ya kupanic,

hayo yalikua ni maoni na mtazamo binafsi wa mh.waziri Lukuvi, japo pia tunaweza kufanya marekebisho kidogo ya kipengele hicho cha katiba na kumpa uwezo na kumruhusu Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania, kuendelea kuhudumu kama Rais hadi kipindi hicho alichokitaja 🐒

chadema waliweza, mpaka leo Mbowe ni chairman tangu kipindi cha mkapa hadi leo.
Naamini na nadhani waTanzania wanaweza kufanya hivyo pia 🐒
Mheshimiwa Lukuvi na ile speech yake ya kuelekea 2015 kuhusu wazenji leo Samia Mzenji ndio boss wake.

Hakuna aijuaye kesho inafanana vipi.
 
ndrugu zango,
muelezeni tu Bi Fatma kwamba arilax , hakuna haja ya kupanic,

hayo yalikua ni maoni na mtazamo binafsi wa mh.waziri Lukuvi, japo pia tunaweza kufanya marekebisho kidogo ya kipengele hicho cha katiba na kumpa uwezo na kumruhusu Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania, kuendelea kuhudumu kama Rais hadi kipindi hicho alichokitaja 🐒

chadema waliweza, mpaka leo Mbowe ni chairman tangu kipindi cha mkapa hadi leo.
Naamini na nadhani waTanzania wanaweza kufanya hivyo pia 🐒
Endeleeni kumchuria na huyu kama mlivyomchuria mwendazake

4FA19FA3-7C42-4847-8DEE-69D36D4E40E8.jpeg
 
Hao wanamletea uchuro sawa na ule uliomkumba hayati JPM. Kuna yule aliyekuwa mbunge wa jimbo la Katavi, mwarabu kwa mbali. Alimchuria JPM bila ya kujua, kwake ulikuwa ni uchawa kumbe kwa mwenzake ni tamko lililomletea kifo.
Samia will follow the same fate, na atakuwa Rais wa mwsho kutoka mkoani Zanzibar kwa miaka kadhaa ijayo.
 
Kwani inakuhusu binti karume sisi wabara tupo tayari aendelee!
Wewe ndio uko tayari kwa sababu ya maslahi yako mwenyee usitusemee sisi wengine

Naa nikupe taarifa tumechokaa na hata masikio yanakataa kumsikia

Mtuu anayesema tumeota mikiaaa kwelii

Kwa hiyo na wewe umeota mkiaa
 
Endeleeni kumchuria na huyu kama mlivyomchuria mwendazake

View attachment 3100921
sasa ndrugu mtoa hoja,
ama ulikua na majibu yako mfukoni na hukutegemea, na wala hupendi mawazo mapya na mbadala dhidi ya yaliko kwenye hoja mahususi?🤣

mambo haya ni rahisi sana ndrugu zango,
ni kupanga na kuamua tu, na kwa Neema na Baraka za Mungu yote yanawezekana, hakuna kingine my friend 🐒
 
Wewe ndio uko tayari kwa sababu ya maslahi yako mwenyee usitusemee sisi wengine

Naa nikupe taarifa tumechokaa na hata masikio yanakataa kumsikia

Mtuu anayesema tumeota mikiaaa kwelii

Kwa hiyo na wewe umeota mkiaa
Tafuta kima wenzio wenye mikia!
 
Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.

Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.

Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.

SSH hawezi kugombea URAIS 2030!

She’s barred by the constitution.

Fatma Karume aka Shangazi.
Kwani alisema anagombea???
 
Back
Top Bottom