Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Atakuwa anaondoka ikulu ifikapo 2030.B
Samia's capacity to shield herself from exmagufulication will determine whether or not she is able to lead this nation when she is too old in 2030.
Hao wanamletea uchuro sawa na ule uliomkumba hayati JPM. Kuna yule aliyekuwa mbunge wa jimbo la Katavi, mwarabu kwa mbali. Alimchuria JPM bila ya kujua, kwake ulikuwa ni uchawa kumbe kwa mwenzake ni tamko lililomletea kifo.Kuna watu wameanza kusema Samia hadi 2035.
Tutabadilisha Tuli autaka uspika shida wapi%#£@!?Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.
Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.
Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.
SSH hawezi kugombea URAIS 2030!
She’s barred by the constitution.
Fatma Karume aka Shangazi.
Nyie ndo machoga hukuna chawa rijali.Shoga anapoamua kujitangaza!
Tulia yule ni mtoa code 2025 wanaijuwa wenyeweHilo lipo wazi kwa mujibu wa Katiba.
Lakini kwa nini tunahangaika na 2030 wakati hata 2025 hatujaifikia???
Inamaana anataka kugombea 2030?
Inashangaza Wakili haelewi katiba. Mihemko tu.Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.
Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.
Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.
SSH hawezi kugombea URAIS 2030!
She’s barred by the constitution.
Fatma Karume aka Shangazi.
Rudia kusoma kilichoandikwa!Kwani Samia ni wabara
Haya mama utajifungua tu mimba sio ugonjwa!Nyie ndo machoga hukuna chawa rijali.
Mbona hujiamini kijana eeh!Inama uiokote
Inama uiokoteMbona hujiamini kijana eeh!
Sasa Shangazi naye hapa anatuchanganya, ataongeleaje ya 2030 na kuacha ya 2025 hewani ? Aseme alichokuwa anataka kuwasilisha kwetu wapiga Kura. Au ndo Campaign zenyewe? Shangazi, with due respect, please elaborate further and keep us guided .Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.
Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.
Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.
SSH hawezi kugombea URAIS 2030!
She’s barred by the constitution.
Fatma Karume aka Shangazi.
Kwani 2025 ameishamalizana nayo >Atakuwa anaondoka ikulu ifikapo 2030.
Lakini Rais ni wa JMT, so Aunti anayo haki ya kutoa maoni yake. Tuheshimu uhuru na haki yake hiyo, hata kama hatukubaliani na maoni yakeKwani inakuhusu binti karume sisi wabara tupo tayari aendelee!
Kwani Lukuvi ni nani yeye awasemee watanzania mil 65? Asitake kupora mamlaka yetu .Hukumsikia Lukuvi anadai kuwa watampa 2025 na 2030 ..... Huyu Maza inaelekea ana agenda nyuma ya pazia. Na pesa ya Wajomba zake inamtia kiburi na nguvu.
Kwa umri wake akiongeza 10 atakuwa president ajuza kama Mugabe.Katiba ni kitabu tu kichoandikwa na watu,tunaweza kukibadili akaongezewa Muda na ikiwezekana akawa life president,mikumi tena Kwa mama
ndrugu zango,Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.
Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.
Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.
SSH hawezi kugombea URAIS 2030!
She’s barred by the constitution.
Fatma Karume aka Shangazi.
Hata kesho hakuna aijuaye inafanana vipi. Tunaongelea kwa mtazamo kuwa kila kitu kikienda kwa mapenzi ya Mungu.Kwani 2025 ameishamalizana nayo >