Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Mheshimiwa Lukuvi na ile speech yake ya kuelekea 2015 kuhusu wazenji leo Samia Mzenji ndio boss wake.ndrugu zango,
muelezeni tu Bi Fatma kwamba arilax , hakuna haja ya kupanic,
hayo yalikua ni maoni na mtazamo binafsi wa mh.waziri Lukuvi, japo pia tunaweza kufanya marekebisho kidogo ya kipengele hicho cha katiba na kumpa uwezo na kumruhusu Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania, kuendelea kuhudumu kama Rais hadi kipindi hicho alichokitaja 🐒
chadema waliweza, mpaka leo Mbowe ni chairman tangu kipindi cha mkapa hadi leo.
Naamini na nadhani waTanzania wanaweza kufanya hivyo pia 🐒
let it be the story for other day gentleman 🐒Mheshimiwa Lukuvi na ile speech yake ya kuelekea 2015 kuhusu wazenji leo Samia Mzenji ndio boss wake.
Hakuna aijuaye kesho inafanana vipi.
Endeleeni kumchuria na huyu kama mlivyomchuria mwendazakendrugu zango,
muelezeni tu Bi Fatma kwamba arilax , hakuna haja ya kupanic,
hayo yalikua ni maoni na mtazamo binafsi wa mh.waziri Lukuvi, japo pia tunaweza kufanya marekebisho kidogo ya kipengele hicho cha katiba na kumpa uwezo na kumruhusu Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania, kuendelea kuhudumu kama Rais hadi kipindi hicho alichokitaja 🐒
chadema waliweza, mpaka leo Mbowe ni chairman tangu kipindi cha mkapa hadi leo.
Naamini na nadhani waTanzania wanaweza kufanya hivyo pia 🐒
Mkuu, wewe unajua ni wa wapi?, huyu ni Mtanzania katika Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.Kwani Samia ni wabara
Samia will follow the same fate, na atakuwa Rais wa mwsho kutoka mkoani Zanzibar kwa miaka kadhaa ijayo.Hao wanamletea uchuro sawa na ule uliomkumba hayati JPM. Kuna yule aliyekuwa mbunge wa jimbo la Katavi, mwarabu kwa mbali. Alimchuria JPM bila ya kujua, kwake ulikuwa ni uchawa kumbe kwa mwenzake ni tamko lililomletea kifo.
Wewe ndio uko tayari kwa sababu ya maslahi yako mwenyee usitusemee sisi wengineKwani inakuhusu binti karume sisi wabara tupo tayari aendelee!
Mungu ndiye anayegawa pumzi na ndiye mwamuzi wa hatima zetu. Hata Samia kuwa rais muda huu ni maamuzi ya Mungu.Samia will follow the same fate, na atakuwa Rais wa mwsho kutoka mkoani Zanzibar kwa miaka kadhaa ijayo.
sasa ndrugu mtoa hoja,
Hatoboi?2030 mbona mbali sana
Wanaomchulia kwamba lazima afike 2035 akiwa kama rais hawana nia naye njema, too bad yeye ndio anawapenda watu hao.Mungu ndiye anayegawa pumzi na ndiye mwamuzi wa hatima zetu. Hata Samia kuwa rais muda huu ni maamuzi ya Mungu.
Hivi nguruwe 🐷 pori jina jingine anaitwaje wajameniIli akaifute hiyo ibara katika katiba?
Bora aitwe ngiri tu.Hivi nguruwe 🐷 pori jina jingine anaitwaje wajameni
Tafuta kima wenzio wenye mikia!Wewe ndio uko tayari kwa sababu ya maslahi yako mwenyee usitusemee sisi wengine
Naa nikupe taarifa tumechokaa na hata masikio yanakataa kumsikia
Mtuu anayesema tumeota mikiaaa kwelii
Kwa hiyo na wewe umeota mkiaa
Wewe ndo utazaa maana machawa wote tumewapachika mimba mkome na tamaa zenu za kuishi Kwa buku 7Haya mama utajifungua tu mimba sio ugonjwa!
Hii ndio aina ya chawa wa MamaTafuta kima wenzio wenye mikia!
Kwani alisema anagombea???Ibara ya 40(4) ya Kiswahili.
Endapo makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea kiti cha Rais mara moja tu.
Rais Samia alishika kiti cha Rais Kutokea March 2021 mpaka November 2025, itakuwa miaka 4 na miezi 6, ni zaidi ya miaka mitatu.
SSH hawezi kugombea URAIS 2030!
She’s barred by the constitution.
Fatma Karume aka Shangazi.
Sema wewe usiseme sisiKwani inakuhusu binti karume sisi wabara tupo tayari aendelee!