UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Na muhimu Lissu amrudie Mungu wake maana huwezi kujua kwanini Mungu ampe mtihani ule Lissu wa kupitia mateso nusu ya kufa na kumuacha na ulemavu wa kudumu, unafikiri kwanini mtihani ule hakuupata Mbowe au Lema? Hivyo ni wakati wa Lissu atafakari hilo sana.Pole Sana kwa Kufiwa na Kipenzi chako.
Ndio hatunaye Tena, ameshatangulia iwe kwa corona au kwa kibetri kuisha chaji.
Hizo "abracadabra" wala hazitasaidia chochote.
Mungu aliyemnusuru Lissu dhidi ya Kifo cha Kikatili ndiye Huyo huyo alitoa Kibali Mpendwa wako aende.
Tumrejeshee Sifa, heshima na Shukrani kwa Kuwa amedhihirisha Ukuu wake.