Fatma Karume: Serikali imlinde Tundu Lissu na familia yake, tusikubali mtu apigwe risasi kwa sababu ya siasa

Na muhimu Lissu amrudie Mungu wake maana huwezi kujua kwanini Mungu ampe mtihani ule Lissu wa kupitia mateso nusu ya kufa na kumuacha na ulemavu wa kudumu, unafikiri kwanini mtihani ule hakuupata Mbowe au Lema? Hivyo ni wakati wa Lissu atafakari hilo sana.
 
Aliyetaka kumuua Tundu Lissu katangulia mbele za haki kamuacha Lissu anaendelea kula ugali. Atakayejaribu kumuua safari hii, naye atatangulia vilevile. Mungu hadhihakiwi.
Usiangalie kutaka kumuuwa angalia na mateso aliyopitia Lissu na sasa yukoje.
 
Upuuuz mtupu tanzania ina watu milion 62 yeye alindwe kama nan akae kwake hakuna wakumshambulia aishi kama alivyokuwa anaishi awali nchi yetu ni ya amani hata huyo lema alienda huko kwa manufaa yake binafisi na wala siyo mkimbizi
Yeye jiwe na vibaraka wake nao walikuwa miongoni mwa hao m62 kibali cha kutoa uhai wa binadamu wenzao walikitoa wapi?uroho,husda,ukatili na kukosa maamuzi sahihi ya kiakili wakidhani m62 wanaweza kuwaswaga kama ng'ombe.
 
Rudia tena soma aliyoandika fatma ndipo urudi na vijimistari vyako vya hovyo! Uwe na tabia ya kusoma na kuchambua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…