Halafu analalamika kwa nini kaachwa.....huyu dada ni problematic sana....Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
View attachment 2890893
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Wanavunja sheria za jinai?Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
View attachment 2890893
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Wa Yemen wao wanatembea na majambia kiunoni na huo ndiyo utamaduni waoMwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
View attachment 2890893
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Halafu tumelala usingizi tunatawaliwa na zanzibarWazanzibar chao ni chao
Na cha TANGANYIKA ni chao pia
Hii TANGANYIKA ipo mikononi mwa wageni kuanzia serikali hadi kwenye chama
Wanavaa chupi tu wazungu ila wao hawaharibu utamaduni wa Zanzibar ambao sijui ni upi.Mbona wazungu mnawaogopa hamuwaambii wafuate hayo masheria ya kiarabu ya kizamani?
Shangazi ameota mapembe wanashindwa kumdhibiti🐒Makamanda uchwara huyo si alikuwa shangazi yenu awamu ya tano sasa mnalalamika nini?
Hahaha ulijua wote hufa?Nimeamini sasa kwamba hata wahuni/wapuuzi huzeeka pia