kapyoko
JF-Expert Member
- May 10, 2022
- 1,365
- 2,134
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375]Wazanzibar chao ni chao
Na cha TANGANYIKA ni chao pia
Hii TANGANYIKA ipo mikononi mwa wageni kuanzia serikali hadi kwenye chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375]Wazanzibar chao ni chao
Na cha TANGANYIKA ni chao pia
Hii TANGANYIKA ipo mikononi mwa wageni kuanzia serikali hadi kwenye chama
Yeye Mzenji au Mmalawi?
Kumbe wee jamaa ni mgomvi sanaMasai waachiwe sime zao hazina madhara mbona nimewapiga masai wengi sana wakiwa hivyohivyo na sime na rungu zao nyie mnaogopa nini?
Wazanzibar wameshiba maharage ya Mbeya sasa wanataka kuharibu shughuli za kitalii wafe njaa. Shibe imewalemea.Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
View attachment 2890893
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Yeah kwa kipindi cha Nyerere angalau umuhimu wa muungano ulionekana sio sasa upo kimkakati wa kisiasa zaidi.Masai waachiwe sime zao hazina madhara mbona nimewapiga masai wengi sana wakiwa hivyohivyo na sime na rungu zao nyie mnaogopa nini?
Uongozi ni hekma na busara. Hakuwa na uweledi katika kuliendea jambo hili hasa kwa kuwataja wamasai pekee. Ingesemwa tu ni marufuku kubeba silala Zanzibar au mjini ikiwa ni kwa watu wote bila kuwataja wamasai au wamwera au wasukuma. Yes, mimi sikubaliani na kubeba silaha kwa hao wamasai au jamii nyingine yoyote lakini pia sikubaliani na utoaji wa maagizo ya utekelezaji wa sheria wenye kuwahusisha jamii au kabila moja tu. Hapo ndipo mlipolikuza jambo. Sime ni silaha lakini ni sehemu ya mavazi kwa mmasai. Yaani haoni kama amekamilika pasipo kuwa na mkanda wenye sime. Je tukienda kwenye jamii ya wamaasai na wao wakisema ni marufuku kuvaa kofia tutawachukuliaje?Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
View attachment 2890893
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Ulipomalizia tu ndio umeharibu kila kitu.Mbona wazungu mnawaogopa hamuwaambii wafuate hayo masheria ya kiarabu ya kizamani?