Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Hivi fikiria afande rama ndio awe mstari wa mbele kumnyang'anya sime masai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache sime zao wabebe vilainishiMwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
View attachment 2890893
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Msemaji wa Watanganyika ni Mnauye🤣Leo hii mmasai anaonekana tatizo huko Zanzibar ..Tanganyika aamkeni
Za kutandika wakorofiFimbo za nini mjini!?