Fatma Karume: Wamasai waheshimu Sheria zetu Wazanzibar

Fatma Karume: Wamasai waheshimu Sheria zetu Wazanzibar

Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.

Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,

"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.

Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.

Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.

Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume

View attachment 2890893

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Sometimes huyo shangazi ni chenge sana
20240202_142805.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.

Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,

"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.

Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.

Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.

Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume

View attachment 2890893

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Sometimes huyo shangazi ni chenge sanaView attachment 2891807

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu mimi wakipigwa marufuku kwa kusumbua watalii (kama ni kweli) nitaunga mkono. Na siyo wamasai tu, ila beach yote inatakiwa kusiwepo na wasumbufu. Ila kuwapiga marufuku eti kwa kubeba fimbo hiyo siyo sawa.

munachoshindwa kufahamu hilo suala la fimbo sio la leo, sheria ipo miaka mingi sana kutoruhusu watu kutembea na silaha. ni vile tu wao wamasai walikua wanapotezewa, ila baada ya matukio ya kuzitumia vibaya sialaha zao kuengezeka kadri ya siku zinavykwenda ndio wamekumbushwa tu kuwa hiyo sheria inawahusu na wao.
 
Jamaa wali nichekesha Sana walivyo kua wana watembezea fimbo wale walinzi uchwara yawezekana walimwaga kisamvu mpira pale pale

unachoshindwa kufahamu kuwa wale walinzi uchwara ni watanganyika wenzako pia.
 
Hapo ndio penyewe maana wanachokiita utamaduni wa mzanzibar sio wa wabantu Bali uliletwa na sultan sayid said pamoja na dini ya kiislamu

sasa mkuu kwanini unaumia na utamaduni wao? kwanini unalazimisha wafate utamaduni huo wakibantu hata kama wenyewe hawautaki? wewe umelazimishwa na nani?
 
munachoshindwa kufahamu hilo suala la fimbo sio la leo, sheria ipo miaka mingi sana kutoruhusu watu kutembea na silaha. ni vile tu wao wamasai walikua wanapotezewa, ila baada ya matukio ya kuzitumia vibaya sialaha zao kuengezeka kadri ya siku zinavykwenda ndio wamekumbushwa tu kuwa hiyo sheria inawahusu na wao.
Wamasai hawatembei na silaha bali wanatembea na fimbo za jadi. Ile ni jadi yao. Umeshasikia wamasai wangapi wameua mtu kwa fimbo? BTW kuna wanaotembea na bastola na tumeshasikia matukio mengi ya watu kuuawa kwa bastola kuliko fimbo.
 
Wamasai hawatembei na silaha bali wanatembea na fimbo za jadi. Ile ni jadi yao. Umeshasikia wamasai wangapi wameua mtu kwa fimbo? BTW kuna wanaotembea na bastola na tumeshasikia matukio mengi ya watu kuuawa kwa bastola kuliko fimbo.

Zanzibar watu hawaruhusiwi kutembea na Bastola.
 
Zanzibar watu hawaruhusiwi kutembea na Bastola.
Kama wana sheria zao za kipekee ni sawa. Ni lakini bara wanaruhusu na pia wamasai wanaruhusiwa kubeba fimbo na wamekuwa wanabeba fimbo miaka yote.
 
Kama wana sheria zao za kipekee ni sawa. Ni lakini bara wanaruhusu na pia wamasai wanaruhusiwa kubeba fimbo na wamekuwa wanabeba fimbo miaka yote.

Zanzibar kuna sheria zake, kwa kifupi seria za bara hazifanyikazi zanzibar isipokua tu yale mambo ya msingi ya muungano.
 
unachoshindwa kufahamu kuwa wale walinzi uchwara ni watanganyika wenzako pia.
Hakuna watanganyika walaini namna ile, wale ni kama yule afande wenu anae pakuliwa kisamvu mpira
 
Back
Top Bottom