Yeye anatii sheria za Tanganyika?Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
View attachment 2890893
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Wamasai wa mchongo hao.Masai waachiwe sime zao hazina madhara mbona nimewapiga masai wengi sana wakiwa hivyohivyo na sime na rungu zao nyie mnaogopa nini?
mrangiWamasai wanasumbua sana watalii,malalamiko yamekua mengi sana Kwa watalii. Wamasai wote wamegeuka beach boys on steroids,mtalii katulia beach wanakuja kumsumbua kumuuzia madude yao na mashangaa.
Malalamiko yamekua mengi sana watalii wanasumbuliwa na wamasai,kila masai anayekuja zenji anategemea apate zali la mzungu aende ulaya. Sasa hili suala la silaha ni mwanzo tu ila hawatakiwi beach wamechokwa na watalii wanakera sana pia washambaaa.
Kwangu mimi wakipigwa marufuku kwa kusumbua watalii (kama ni kweli) nitaunga mkono. Na siyo wamasai tu, ila beach yote inatakiwa kusiwepo na wasumbufu. Ila kuwapiga marufuku eti kwa kubeba fimbo hiyo siyo sawa.Wamasai wanasumbua sana watalii,malalamiko yamekua mengi sana Kwa watalii. Wamasai wote wamegeuka beach boys on steroids,mtalii katulia beach wanakuja kumsumbua kumuuzia madude yao na mashangaa.
Malalamiko yamekua mengi sana watalii wanasumbuliwa na wamasai,kila masai anayekuja zenji anategemea apate zali la mzungu aende ulaya. Sasa hili suala la silaha ni mwanzo tu ila hawatakiwi beach wamechokwa na watalii wanakera sana pia washambaaa.
Inanikumbusha South Africa kipindi cha Mangosuthu Buthelezi na Inkatha Freedom Part. Aliongoza wazulu zaidi ya 10,000 kuandamana na visu yao ya kizulu ili kupinga serikali kupiga marufuku wazulu kubeba visu vya jadi.Masai waachiwe sime zao hazina madhara mbona nimewapiga masai wengi sana wakiwa hivyohivyo na sime na rungu zao nyie mnaogopa nini?
Wamasai wanasumbua sana watalii,malalamiko yamekua mengi sana Kwa watalii. Wamasai wote wamegeuka beach boys on steroids,mtalii katulia beach wanakuja kumsumbua kumuuzia madude yao na mashangaa.
Malalamiko yamekua mengi sana watalii wanasumbuliwa na wamasai,kila masai anayekuja zenji anategemea apate zali la mzungu aende ulaya. Sasa hili suala la silaha ni mwanzo tu ila hawatakiwi beach wamechokwa na watalii wanakera sana pia washambaaa.
Nyie na bi kizimkazi simmeiuza Ngorongoro na kuwatimua kwa nguvu? Sasa mnapata makasiriko ya nini wanapokuja huko Zanzibar?Masai wanazunguka kama wamachinga beach wanauza vitu tena wamekua wasumbufu hawajui mipaka,akitoka huyu anakuja huyu kukuuzia mashanga yao. Mwanzoni walikua wachache na waelewa,sasa hivi wamekua aggressive na njaaa Kali.
Warudisheni wamasai wetu na mchukue mapemba yenu [emoji37]Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
View attachment 2890893
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Fimbo za nini mjini!?Kwangu mimi wakipigwa marufuku kwa kusumbua watalii (kama ni kweli) nitaunga mkono. Na siyo wamasai tu, ila beach yote inatakiwa kusiwepo na wasumbufu. Ila kuwapiga marufuku eti kwa kubeba fimbo hiyo siyo sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Waachane na majambia wabebe vilainishi
Ukikuta Mmasai anavyomsumbua mgeni wewe mwenyeji utajikuta unakereka. Yaani ni zaidi ya wasumbufu.Wamasai wanasumbua sana watalii,malalamiko yamekua mengi sana Kwa watalii. Wamasai wote wamegeuka beach boys on steroids,mtalii katulia beach wanakuja kumsumbua kumuuzia madude yao na mashangaa.
Malalamiko yamekua mengi sana watalii wanasumbuliwa na wamasai,kila masai anayekuja zenji anategemea apate zali la mzungu aende ulaya. Sasa hili suala la silaha ni mwanzo tu ila hawatakiwi beach wamechokwa na watalii wanakera sana pia washambaaa.
Aibu unaona wewe.Ukikuta Mmasai anavyomsumbua mgeni wewe mwenyeji utajikuta unakereka. Yaani ni zaidi ya wasumbufu.
WANAFIKI SANA HAOMbona wazungu mnawaogopa hamuwaambii wafuate hayo masheria ya kiarabu ya kizamani?