tatizo kwa hapa nyumbani mkanganyiko huu una historia kwakua watanzania wengi wanaitafsiri hiyo Executive kama Serikali kwakua inaonekana mtendaji mkuu ni Rais, mkanganyiko ambao umemkumba hata mwanasheria msomi Fatma karume.Government ina 3 pillars...
Executive
Legislature
Judiciary
Mkuu state kwa maana nchi au dola ndo yenye mihimili mitatu na hii mbona ipo clear kwenye katiba yetu ya mwaka 77 na Fatuma kaquaote vifungu hapo juu.Sasa Kama ninyi ndo ccm imewaweka muitetee hapa mitandaoni basi wadanganyika watasubiri viwanda sanaWewe mpuuzi dola ina mhimili? Mh.. Chadema imejaza wajinga. Yaani State ina branches?
Mkuu kwa hiyo executive Ni dola?Hivi mnajitoa ufahamu kwa kuwa ujinga huu kausema mteuzi wa magu au?tatizo kwa hapa nyumbani mkanganyiko huu una historia kwakua watanzania wengi wanaitafsiri hiyo Executive kama Serikali kwakua inaonekana mtendaji mkuu ni Rais, mkanganyiko ambao umemkumba hata mwanasheria msomi Fatma karume.
Duuuh hatari sana...kumbe na wewe umeona...Elimu ye kijinga hii yaani ulivyotokwa povu uwezi ata kutofautisha Dola na Serikali (State and Government)
The lesboHahahahah the power of shangazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah umetumia lugha mbili tofauti.Katiba yetu imetaja dola (state)?
Ni aibu sana kwa Ni Fatma Karume kutoa post hii,hajui kwamba serikali Ina mihimili 3? Au kwa sababu wameshajizoeza kupinga kila kitu kisemwacho na serikali?
Serikali (Government) Ina pillars(mihimili) 3 1) executive (serikali kuu),Judiciary (mambo ya sheria) na Legislature (kutunga sheria), hivyo AG yuko sawa sasa na baadae.
Inanipa hofu kuwa neno executive shangazi hajui maana yake!
Kwa maneno aliyotumia dhidi ya AG ayafute mara moja na aiombe radhi profession yake kwa kuandika kitu unprofessionally.
Personally namuomba shangazi asipende kujiona kuwa anajua sana kula kitu kuliko wengine na ningependa kumkumbusha awe makini sana anapotoa hoja kupinga hoja iliyotolewa na professor yeyote hasa wanapokuwa wanazungumza si kisiasa bali kutaaluma.
Kwa hiyo mkuu dola /state kwa akili yako ni serikali?Katiba yetu imetaja dola (state)?
Aah umetumia lugha mbili tofauti.
Fatma ni mwanasheria MSOMI kilaza.Kulinganisha uwezo wa kuelewa sheria wa Fatima na Mwanasheria Mkuu wa serikali ni sawa na kulinganisha uwezo wa mwalimu wa sule ya msingi na professor wa chuo kikuu.
Kwa nini mara nyingine hamtaki kuona ukweli mnapumbazwa na ushabiki wa kisiasa? Yaani mmekuwa wajinga kulingo wajinga wanavyoeleweka kwa ajili tu ya siasa
1/Leo Adelardus katoa ushahidi dhidi yangu akisema yeye ni mshauri wa Serikali chini ya Ibara 59(3) ya Katiba na Serikali Ina mihimili 3, EXECUTIVE, LEGISLATIVE na JUDICIARY! Mungu wangu! Kwa kweli siwezi kupoteza muda wangu na mtu asiyeelewa KATIBA halafu ni MWANASHERIA MKUU! https://t.co/NTobVxfrc7
View attachment 1486607
2/ Kwa kusema SERIKALI Ina Mihimili 3, Executive, Judiciary na Legislative Ina maana Adelardus haielewi KATIBA yetu kabisa. Basi hata ibara ya 4 hajaisoma? Serikali ni MIHIMILI 1 kati ya 3. Siwezi kupoteza muda kumsikiliza AG asiyeielewa KATIBA yetu! https://t.co/wQuAbijdoyView attachment 1486611
Mkuu naomba nikuulize,katiba ni Mali ya Serikali au nchi kwa maana ya state?Ni aibu sana kwa Ni Fatma Karume kutoa post hii,hajui kwamba serikali Ina mihimili 3? Au kwa sababu wameshajizoeza kupinga kila kitu kisemwacho na serikali?
Serikali (Government) Ina pillars(mihimili) 3 1) executive (serikali kuu),Judiciary (mambo ya sheria) na Legislature (kutunga sheria), hivyo AG yuko sawa sasa na baadae.
Inanipa hofu kuwa neno executive shangazi hajui maana yake!
Kwa maneno aliyotumia dhidi ya AG ayafute mara moja na aiombe radhi profession yake kwa kuandika kitu unprofessionally.
Personally namuomba shangazi asipende kujiona kuwa anajua sana kula kitu kuliko wengine na ningependa kumkumbusha awe makini sana anapotoa hoja kupinga hoja iliyotolewa na professor yeyote hasa wanapokuwa wanazungumza si kisiasa bali kutaaluma.
Hawa unaweza waita serikali kuu kwa tafsiri itayoeleweka kwa urahisi, tawi la utawala wa nchi ambalo kingozi wake ni Rais.Mkuu kwa hiyo executive Ni dola?
Kwa hiyo kwa akili yako katiba yetu ya mwaka 1977 ni Mali ya Serikali si ndiyo kilaza wangu?Je na Tanzania ni Nini?Hawa unaweza waita serikali kuu kwa tafsiri itayoeleweka kwa urahisi, tawi la utawala wa nchi ambalo kingozi wake ni Rais.
State (dola) has 3 pillars as listed aboveGovernment ina 3 pillars...
Executive
Legislature
Judiciary
Kwa hiyo mkuu dola /state kwa akili yako ni serikali?
Hii hoja umeitoa wapi maana mjadala haukuwa huo??Kwa hiyo kwa akili yako katiba yetu ya mwaka 1977 ni Mali ya Serikali si ndiyo kilaza wangu?
Unawacheka kihuni wenzako?Duuuh hatari sana...kumbe na wewe umeona...Elimu ye kijinga hii yaani ulivyotokwa povu uwezi ata kutofautisha Dola na Serikali (State and Government)