Fatuma Karume: CCM wanamdharau sana rais Samia

Fatuma Karume: CCM wanamdharau sana rais Samia

Kwa ufupi.


NCHI HAIPASWI KUONGOZWA NA MWANAMKE .


TENA MWANAMKE AMBAYE, NYUMA YAKE KUNA MIFUMO MIBOVU, ILOJAA RUSHWA, WAPIGAJI, MAFISADI.

MWANAMKE MWOGA, ASIYEKUA NGANGARI.



Aende akawaongoze wazanzibar kama Anaaamini anajiweza.
Hilo lipo wazi mkuu.Mama hana ubabe wowote
 
Machogo wanapenda kupiga sana kelele Mzanzibari akiingia madarakani. Hata zile enzi za Mwinyi ambaye ni chogo mwenzao, CCM mwenzao walimtupia kashfa za rushwa mpaka basi. Mpaka Nyerere alikuwa anamsema hadharani. Tunawajua machogo ubaguzi wenu.
 
Job Ndugai ameona Bi Mkubwa pesa anazokopa zinaishia mikononi mwa mafisadi na wahuni wanaotoka mapangoni. This is why analalamika na kupaza sauti.
 
Tatizo viongozi wa kiafrica huwa hawajiamini, kazi rahisi ilikuwa ni kulivunja hili bunge ili Wananchi warudishiwe haki yao waliyoporwa na mwehu mmoja ya kuchaguwa wawakilishi wao na angeunda serikali isiyokuwa na mamluki.

Wahuni kama Ndugai hakuna mahali penye uchaguzi wa kweli wanaweza kupenya katika uchaguzi.

Mkiendelea kucheka na hawa kima wa mwendakuzimu mtacheza midundo yao mpaka 2025.

Muda wa kuwaeliminate hawa kima ni sasa, ajabu mnacholewa chui wa karatasi Mbowe wakati watu hatari kwa Taifa wapo ndani ya ccm.
Kabla ya kulivunja
Rais anapigiwa kura ya kutokuwa na imani naye anaondolewa madarakani kwanza ndo uchaguzi mkuu unapigwa.
 
Kabla ya kulivunja
Rais anapigiwa kura ya kutokuwa na imani naye anaondolewa madarakani kwanza ndo uchaguzi mkuu unapigwa.
Kura ya kutokua na imani na rais ina mchakato mrefu sana, rais anaweza vunja bunge kwa tangazo moja tu ktk gazeti la serikali lakini kumwondoa rais is a process mzee.

Kwanza Samia anaweza mvua uanachama Ndugai habari yake ikaishia hapo.
 
Ktk maandishi yake shangazi Fatuma Karume anasema dhihaka zinazotolewa na akina Ndugai, Polepole, Gwajima, n.k ni taarifa tosha kabisa kuwa rais Samia haheshimiki ndani ya ccm.

Shangazi amehitimisha kwa kuuliza swali kwamba...January mwaka huu deni lilikuwa 71 trilioni...kwann Ndugai hakunyanyua mdomo kusema nchi itapigwa mnada??

View attachment 2061082
Atulie mbn yeye alikua anamtusi sana JPM, leo kwa mzanzibar mwenzake roho inamuuma?!
 
Kura ya kutokua na imani na rais ina mchakato mrefu sana, rais anaweza vunja bunge kwa tangazo moja tu ktk gazeti la serikali lakini kumwondoa rais is a process mzee.

Kwanza Samia anaweza mvua uanachama Ndugai habari yake ikaishia hapo.
Akivujna bunge na wewe amejifuta.
 
Kura ya kutokua na imani na rais ina mchakato mrefu sana, rais anaweza vunja bunge kwa tangazo moja tu ktk gazeti la serikali lakini kumwondoa rais is a process mzee.

Kwanza Samia anaweza mvua uanachama Ndugai habari yake ikaishia hapo.

Ukivunja bunge lazima uchaguzi mkuu sio wa wabunge tu na urais pia. Na yeye hawezi kutoboa nani atamuibia kura huko majimboni huyo rais?
 
Tatizo viongozi wa kiafrica huwa hawajiamini, kazi rahisi ilikuwa ni kulivunja hili bunge ili Wananchi warudishiwe haki yao waliyoporwa na mwehu mmoja ya kuchaguwa wawakilishi wao na angeunda serikali isiyokuwa na mamluki.

Wahuni kama Ndugai hakuna mahali penye uchaguzi wa kweli wanaweza kupenya katika uchaguzi.

Mkiendelea kucheka na hawa kima wa mwendakuzimu mtacheza midundo yao mpaka 2025.

Muda wa kuwaeliminate hawa kima ni sasa, ajabu mnacholewa chui wa karatasi Mbowe wakati watu hatari kwa Taifa wapo ndani ya ccm.
1640728073958.png
 
Back
Top Bottom