Siku mfumo kandamizi ukikuinukia wewe ndugu yako au watu wako wa karibu utaikumbuka mbowe na chadema nawaonea Sana huruma watu wanaofurahia hujuma dhidi ya chadema maana siku yakiwafika yule ambae alitakiwa awatetee hatakuwepo.mbowe kashindwa kuiendesha taasisi kubwa kama chadema mpaka imekufa.
sasa chadema imebaki kidoogo tweeter na jf ndo inaishiaishia ikifika october tunaizika rasmi.
mbowe kashindwa kuiendesha taasisi kubwa kama chadema mpaka imekufa.
sasa chadema imebaki kidoogo tweeter na jf ndo inaishiaishia ikifika october tunaizika rasmi.
Ndo mlivyopanga?Shangazi amewageuka wenzake maana bado amefunga sita za ziada baada ya kula idd
Chadema wamelikoroga wenyewe soon watakuwa jera kama viongozi wa TFF Mpaka wateme pesa zote
Mchungaji fake wa river side unamjua ?Ndio Ni rushwa ,ukitumia pesa vibaya jiandae kupambana na chama Cha kupambana na rushwa nchini
Dhuluma na hujuma zitabarikiwa kwenye madhabahu ya mchungaji fake wa river side .... ubungoKauliza swali muhimu sana.takukuru wanatumikishwa tu pale sio wenyewe.pale muhusika Ni Jpm
Nyumbu hao wameshakaririshwa.Chunguza bilion 12 za Ndungai kwanza mali za CCM viwanja vya CCM vilivyoporwa zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi, kivuko cha Dsm Bagamoyo, 10%ununuzi wa Ndege, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge Takukuru waanzie huko kwanza
fatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa ya rushwa tu!
Wewe ndo wa kuonewa huruma, upo gizani hujitambui. Eti mfumo kandamizi, hivi jiulize hapo ulipo nani ameshawahi kukukandamiza wewe na familia yako? Umejazwa ujinga na wanasiasa nawwe unayabeba kama zuzu.Si
Siku mfumo kandamizi ukikuinukia wewe ndugu yako au watu wako wa karibu utaikumbuka mbowe na chadema nawaonea Sana huruma watu wanaofurahia hujuma dhidi ya chadema maana siku yakiwafika yule ambae alitakiwa awatetee hatakuwepo.
Zuzu mama yako mkuuWewe ndo wa kuonewa huruma, upo gizani hujitambui. Eti mfumo kandamizi, hivi jiulize hapo ulipo nani ameshawahi kukukandamiza wewe na familia yako? Umejazwa ujinga na wanasiasa nawwe unayabeba kama zuzu.
Na Kasimu MajaliwaKigwangala, Mbowe na TFF wote wanatakiwa wawe mikononi mwa pilato wakisindikizwa na Aden Rage
Fatma K anahitaji u b ooo sio kwa stress hizi
[/QUOTEanahitaji hiyo huduma
So is ur biological momFatma K anahitaji u b ooo sio kwa stress hizi
Ndio mambo ya idris amekamatwa kwa kucheka suti ya "MTU FURANI" ila kwa pilato kashitakiwa kwa kumiliki line ya simu ambayo siyo yake.fatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa ya rushwa tu!
Mi naona ni swali la hovyo kuulizwa na mtu msomi kama Shangazi. Hivi mathalani kamati kuu ya CDM au baadhi yao wakiwekwa sawa na Mwenyekiti kuridhia kuwa anakidai chama ili chama kitoe pesa kumlipa, hiyo inaitwa nini??!Kauliza swali muhimu sana.takukuru wanatumikishwa tu pale sio wenyewe.pale muhusika Ni Jpm
Rudia kusoma kilichoandikwa na weka akili yako sawa utaelewa alichokimaanishaShangazi amewageuka wenzake maana bado amefunga sita za ziada baada ya kula idd
Chadema wamelikoroga wenyewe soon watakuwa jera kama viongozi wa TFF Mpaka wateme pesa zote
Takukuru wamemshindwa Kangi Lugola watamuweza Kingwangala???Matumizi mabaya ya fedha ni rushwa.
Hata Kigwangalla soon ataitwa na Takukuru!
unahangaika sana we malaya sijui unatatizo ganifatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa ya rushwa tu!