Fatuma Karume: Matumizi ya fedha mabaya ni rushwa?

Fatuma Karume: Matumizi ya fedha mabaya ni rushwa?

Hii PCCB ni taasisi ya kuzuia na kupambana na ufisadi
fatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa ya rushwa tu!
 
WAITARA kasema jana Tanzania kuna kijukuu cha Mtume.

Inawezekanaje ikawa kila mtu hafai lakini yeye Mbowe hakosei????

KABURU alikuwa mbaya, Mbowe ndio mwema

CHACHA WANGWE mbaya, Mbowe mzuri...

MWIGAMBA mbaya, Mbowe yeye mwema..

ZITTO hafai, Mbowe ni mwema

KITILA MKUMBO hafai, Mbowe mzuri

WAITARA was wrong, Mbowe was right

SELASINI hafai, Mbowe mwema

CECIL MWAMBE hafai, Mbowe hakukosea

DR. SLAA hafai, Mbowe yeye ndio hakosei

DR. MASHINJI hafai, Mbowe ndio mwema...

SUMAYE hafai, Mbowe anaandamwa

LOWASSA hafai, Mbowe ndio yuko sahihi

GEKUL, KOMU, JAFAAR, MOLLEL; wabunge WACHAGA wenzie kibaao aliokotofishana nao, hawafai... YEYE ANAFAA MIAKA YOTE

WAITARA: KIJUKUU CHA MTUME KINAPATIKANA TANZANIA, FREEMAN MBOWE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watoto waliokulia ikulu wana kazi sana.
 
Kuna zile tuhuma za rushwa kwa wabunge zilizotolewa live bungeni mara tatu kwa Waziri Mkuu na mara zote tatu kiti kikamkataza Waziri Mkuu asijibu. Hatimaye tuhuma zikaibuka kwenye mkutano wa rais na vyombo vya habari. Body language ikasema mengi. Ingawa ahadi ilitolewa kuwa TAKUKURU watafuatilia hizo tuhuma mpaka sasa hatujasikia lolote. Kwa tuhuma hizi nzito watawala wetu walupaswa kujisafisha hadharani; kunyamaza kimya ni kukiri kuwa tuhuma zina ukweli! Jinai haina muda. Kwa jinsi tunavyoenenda kama nchi kuna siku watu wenye kisasi watafukua makaburi.
 
fatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa ya rushwa tu!
Mahakama ndo itatafsiri siyo wewe Fatma Karume ulokulia Ikulu batani
 
Ngono kwa miaka 5 yote yupo kimya? Basi huyo alikuwa demu wake
Hata mke wako anaweza kukushitaki mahakamani kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia hususani kumbaka. Ndivyo sheria ilivyo. Halafu makosa ya jinai hayana time limit ya kufunguliwa mahakamani.
 
Chunguza bilion 12 za Ndungai kwanza mali za CCM viwanja vya CCM vilivyoporwa zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi, kivuko cha Dsm Bagamoyo, 10%ununuzi wa Ndege, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge Takukuru waanzie huko kwanza
Hiyo ndiyo sala aliyowafundisha Mbowe. Endelea kuisali we mlokole wa Mbowe religion.
 
fatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa ya rushwa tu!
Mbona munampa likes bila kujiuliza kazi za PCCB. PCCB ina deal na corruption. Kiswahili kinaharibu mambo sana! Corruption siyo rushwa tu! Rushwa ni bribery.
 
Fatuma ukimtoa mama yangu yeye ndo mwanamke mwenye akili nzuri kichwani.
Ukoo wako una bahati mbaya sana! Hata shangazi hakuna kitu! Kaka nao wameoa hakuna kitu! dada zako hakuna kitu! Wadogo zake mama hakuna kitu! Pole!
 
mbowe kashindwa kuiendesha taasisi kubwa kama chadema mpaka imekufa.
sasa chadema imebaki kidoogo tweeter na jf ndo inaishiaishia ikifika october tunaizika rasmi.
Halafu mkishaizika mtakuwa mnajichotea tu rasilimali zetu,maana hatakuwepo wa kuwanyoshea kidole,tunajua mnawachukia Chadema kwasababu wanaharibia ulaji
 
Back
Top Bottom