kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
fatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa ya rushwa tu!
Utapata laana Mkuu, wengine wazazi wetu tumeshawazika. Bora unitukane mwenyewe.Zuzu
Zuzu mama yako mkuu
Ndiyo TAKUKURU wanataka kuzichunguza kamanda, relax [emoji12][emoji3577][emoji3577]Japo sijafahamu defination yako ulipoitoa, hizo "personal gain" ndio zile ngonjera mnazoimba kila siku bila ushahidi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]WAITARA kasema jana Tanzania kuna kijukuu cha Mtume.
Inawezekanaje ikawa kila mtu hafai lakini yeye Mbowe hakosei????
KABURU alikuwa mbaya, Mbowe ndio mwema
CHACHA WANGWE mbaya, Mbowe mzuri...
MWIGAMBA mbaya, Mbowe yeye mwema..
ZITTO hafai, Mbowe ni mwema
KITILA MKUMBO hafai, Mbowe mzuri
WAITARA was wrong, Mbowe was right
SELASINI hafai, Mbowe mwema
CECIL MWAMBE hafai, Mbowe hakukosea
DR. SLAA hafai, Mbowe yeye ndio hakosei
DR. MASHINJI hafai, Mbowe ndio mwema...
SUMAYE hafai, Mbowe anaandamwa
LOWASSA hafai, Mbowe ndio yuko sahihi
GEKUL, KOMU, JAFAAR, MOLLEL; wabunge WACHAGA wenzie kibaao aliokotofishana nao, hawafai... YEYE ANAFAA MIAKA YOTE
WAITARA: KIJUKUU CHA MTUME KINAPATIKANA TANZANIA, FREEMAN MBOWE
Pole kwa kufiwa na mzazi lakini pia kosoa kwa staha kuepusha majibu kama haya.Utapata laana Mkuu, wengine wazazi wetu tumeshawazika. Bora unitukane mwenyewe.
Mahakama ndo itatafsiri siyo wewe Fatma Karume ulokulia Ikulu batanifatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa ya rushwa tu!
Hata mke wako anaweza kukushitaki mahakamani kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia hususani kumbaka. Ndivyo sheria ilivyo. Halafu makosa ya jinai hayana time limit ya kufunguliwa mahakamani.Ngono kwa miaka 5 yote yupo kimya? Basi huyo alikuwa demu wake
Hiyo ndiyo sala aliyowafundisha Mbowe. Endelea kuisali we mlokole wa Mbowe religion.Chunguza bilion 12 za Ndungai kwanza mali za CCM viwanja vya CCM vilivyoporwa zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi, kivuko cha Dsm Bagamoyo, 10%ununuzi wa Ndege, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge Takukuru waanzie huko kwanza
Mbona munampa likes bila kujiuliza kazi za PCCB. PCCB ina deal na corruption. Kiswahili kinaharibu mambo sana! Corruption siyo rushwa tu! Rushwa ni bribery.fatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa ya rushwa tu!
Ukoo wako una bahati mbaya sana! Hata shangazi hakuna kitu! Kaka nao wameoa hakuna kitu! dada zako hakuna kitu! Wadogo zake mama hakuna kitu! Pole!Fatuma ukimtoa mama yangu yeye ndo mwanamke mwenye akili nzuri kichwani.
Siyo kwamba wewe ndo tukutafutie mume? Usivunge unamwongelea Fatuma ilhali tunajua hapa unajaribu kuelezea hitaji lako.Haka kamama walie karibu nako mkatafutieni mume jamani
Mbona munampa likes bila kujiuliza kazi za PCCB. PCCB ina deal na corruption. Kiswahili kinaharibu mambo sana! Corruption siyo rushwa tu! Rushwa ni bribery.
Hongo au rushwa ni sawa na kusema nyanya au bibi, Mbogo au nyati. simple!Bribery siyo rushwa ni "hongo"
Halafu mkishaizika mtakuwa mnajichotea tu rasilimali zetu,maana hatakuwepo wa kuwanyoshea kidole,tunajua mnawachukia Chadema kwasababu wanaharibia ulajimbowe kashindwa kuiendesha taasisi kubwa kama chadema mpaka imekufa.
sasa chadema imebaki kidoogo tweeter na jf ndo inaishiaishia ikifika october tunaizika rasmi.