FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

Wacha upumbavu huyu jamaa alitengeneza body(tank) ya canter iliyotumika kubeba bomu na si bomu! Na ndio maana akaachiwa maana magaidi walienda garage yake kama wateja wengine! Na si ati alipokea mpunga mrefu! Kama hujui kitu uliza, na si kupotosha!
 
Anzisha uzi wako kenge wewe upinde unawashwa na matakooo
 
Malizia basi alivyodakwa
 
Tuwaheshimu kwakuwadharau polisi wetu!? Kwani ugaidi na Tanzania wapi na wapi!?
Kila nchi ina uzoefu wa kukabiliana na uhalifu uliokithiri kwenye nchi zao
 
Jidanganye uchangu ni tabia haijalishi kabila ndio maana kwenye vibanda vya wahaya wapo hadi wapare japo jina ni wahaya
 
Akili ni nyingi lazima nikasome USA hata kadigrii kamoja hata chuo cha community walahi
 
Sasa twambie walivyopata Intel za uwepo mabomu ya Nuclear Iraq na walivyoyapata.
Pale walikuwa wanamwinda tu Sadam. Ile propaganda ya nuclear ilikuwa gear ya kumdaka Sadam kama walivyomfanyia Gadafi. Mwisho wa picha wakamdaka jamaa shimoni. Na Gadaf wakamdaka chooni sijui. Wako kumlia timing Putin. Ni saa zinahesabika hapo,watamuokota jalalani. Namuona M7 nae anajipendekeza. Ashukuru tu umri umeenda. USA wameadvance sana. Taget zao hazikukosi. Mchina tu ndio kashtukia picha. Amegoma kukivamia moja kwa moja kisiwa cha Taiwan
 
Wakati wa huu mlipuko huu nilikua majengo ya chuo cha IFM ulikua mshindo mzito mno
 
September 11 ndiyo hao FBI wenu waliachwa uchi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 

Endelea kuota sasa
 
Moshi ipi hakuna machangudoa?? Hadi mashoga wapo na wanajipanga pale malindi club
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…