Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neymar anakabwa na wanamieleka watatu,kaazi kweli..Iniesta,Tello..Iniesta,wanapoteza pale Barca..Mulgrew..Ambrose..Samaras..Shakira anawanyang'anya..Adriano..Xavi..Busqets,Alves,..Adriano,Barca wameanza kutengeneza mwezi ndani ya goli la Celtic..
Mkuu, nyumba ndogo kumbe catalunya?
no,nimejiskia tu kutazama hii mechi manake Gutierez na mwenzie Aleyn wameondoka na Guardiola wao!umemuona Chomba?kama kawaida yake kapigwa goli dk ya 90,jogoo akawika dk ya 93!huyu Chomba huyu na huyu jogoo wake,we mwache tu!kila siku magoli ya jioni!
Itabidi tumpeleke Mlingotini Mkuu, maanake msiba wa jirani ni msiba wetu pia!
huu ujirani wa Chomba ni wa siku za furaha tu,misibani anatugeuka siku ile tumeshikwa Copenhagen unazikumbuka "shombo" alizomwaga?ooh,sijui juve kashikwa nanihii zake,ooh,uncle Festa sijui nini..leo uncle Festa zamu yake waholanzi wamemminya nanihii zake,kwi kwii!
Sameheme 7 X 70
Mkuu, taarifa niliyonayo jambo hili liliisha kuwa solved na mambo hayo wapo mkuu kwani Barca ipo hapa hapa duniani.
Mkuu, taarifa niliyonayo jambo hili liliisha kuwa solved na mambo hayo wapo mkuu kwani Barca ipo hapa hapa duniani.
si tunachapa na kufunga mdomo watoto wa malkia hukohuko kwao na hela zao,soka limetengenezwa Spain hususan La Masia,u are welcome sana Mourinho,kocha ulie na rekodi mbaya ya kupoteza kila mkifika ktk mikwaju ya penati hata mkicheza na Swazi International ya Mwananyamala kwa mama Zakaria:evil:
si tunachapa na kufunga mdomo watoto wa malkia hukohuko kwao na hela zao,soka limetengenezwa Spain hususan La Masia,u are welcome sana Mourinho,kocha ulie na rekodi mbaya ya kupoteza kila mkifika ktk mikwaju ya penati hata mkicheza na Swazi International ya Mwananyamala kwa mama Zakaria:evil:
kombe la barca hl lazima
si tunachapa na kufunga mdomo watoto wa malkia hukohuko kwao na hela zao,soka limetengenezwa Spain hususan La Masia,u are welcome sana Mourinho,kocha ulie na rekodi mbaya ya kupoteza kila mkifika ktk mikwaju ya penati hata mkicheza na Swazi International ya Mwananyamala kwa mama Zakaria:evil: