madrid bila Ronaldo ni sawa na gagulo bila 'pichu'...ukija upepo tu basi umebaki uchi.
Na yule Abdalah Pepe yaani hana hata nafasi kwenye chama langu tukufu la mchangani yaani Abajalo
Teeh teeh te te teeh, da mdau kweli umemchoka mufti Abdalah Pepe yaani hata Abajalo hii inayoburuzwa kinesi kila kukicha imnyime fomu?
Yaani ugonjwa wa Bayern na Madrid hauna tofauti, wote ni wazuri sana mbele lkn ni wabovu sana nyuma hasa madrid, usishangae ukisikia wamefungana 4-3, ukicheza na timu iliyoenea kila idara kama A.madrid ni balaa tupu.