FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread


Gerald Pique anasema timu inatakiwa kusambuliwa na isukwe upya.

Anapingana na haya mawazo yako.
 
This team is disgrace to the Spanish football, yaani huko Twitter na Facebook tangu jana usiku watu wanaiponda la liga sababu ya hawahawa nyau hawa. Hii timu isiruhusiwe kucheza UEFA Champions league mwakani. Hawana uwezo mbuzi hawa
 
Maisha lazima yasonge mbele wanabarca wenzangu, we have to be loyal, tusikate tamaa na timu yetu, there ups and downs! Tusimame tena kama timu!
 
Bayern ni Thiago

Thiago asipotembea Barcelona inashinda game kirahisi tu...

Ili Bayern icheze Thiago ndo mchezeshaji

Hawa akina Lewendoski sijui Glaby sijui nani ni Wakawaida sana mbele ya Barça [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂
 
Nani alilala na viatu boss 😂😂😂😂
 
Nani kamiminiwa mkuu 😂😂😂
 
Boss hali vipi nani weak?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…