GenerationY
Senior Member
- Sep 12, 2020
- 174
- 324
Personal record....Acha wivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Personal record....Acha wivu
DuuuUtopolo ya ulaya [emoji16]
Haha..Leo dua la kuku limempata Mwewe.
Kwa kikosi alichonipangia Lampard ukiangalia na kikosi cha Ole. Naona leo theatre of dreams inavunjwa vunjwa. Man U anakaa leo labda wachezaji wazembee wenyewe.Haha..
Halafu unajua upo wapi saiv..upo OT
Mpaka saivi ni maviziano, timu zinawindana kwa uoga tuuKwa kikosi alichonipangia Lampard ukiangalia na kikosi cha Ole. Naona leo theatre of dreams inavunjwa vunjwa. Man U anakaa leo labda wachezaji wazembee wenyewe.
Watakua bize wanajadili kocha yupi ana fit mfumo wa Mess.Majirani mpoooo[emoji1],
Huu msiba wa leo tunazika hapa hapa au tunasafirisha?
Kuna tatizo kubwa kwenye benchi la ufundi kuliko hata timu yenyewe tunayoiona mbovu. Ukifika wakati wa usajili kinachofanyika kinaenda kinyume na kinachotakiwa. Kuna mwaka timu ilifia kwa juventus kwa sababu ya ubovu wa ulinzi, mwaka juzi ikafia kwa RSikuhizi tukidundwa nacheka sana hv nashindwa kuelewa tumerogwa ama yaan ukuta wetu ni takataka dah halafu nashindwa kumuelewa griezman anachezaga nini why tusimuuze hata wolves yaani tunamuacha Suarez tunambakiza braithware dah tunapitia wakati mgumu sana karaha ilioje
Angekua bayan leo wangekula 9 - 1.Timu bovu wao wanakaza shingo tu. Sema pia leo Madrid alikosa umakini tu Barca alikua analala goli nyingi zaidi
Sijui hata kama unaelewa nnacho andika.Personal record....Acha wivu
DadekiWatakua bize wanajadili kocha yupi ana fit mfumo wa Mess.
Maana hii timu hadi waokota mipira wanatakiwa ku fit mfumo wa Mess.
Personal records has anything to do with team results!??? Answer as a person with senses.Sijui hata kama unaelewa nnacho andika.
Personal record inasaidia nini kama mmedundwa 3?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
1-3. imeisha hiyo!Personal records has anything to do with team results!??? Answer as a person with senses.
Watakua bize wanajadili kocha yupi ana fit mfumo wa Mess.
Maana hii timu hadi waokota mipira wanatakiwa ku fit mfumo wa Mess.
Sahihi shida ya barca ni ukuta kila wakati wa usajiri nafikir viongozi watafanya jambo lakin wapi hivyo hayo ndio matokeoKoeman akifika xmass hajafukuzwa basi nitaamini Jose Maria ameamua kuiua Barca. Inauma sana lakini saivi wala hatuumii
Miaka karibu minne defense line yetu hasa CB mbovu lakini hakuna usajili wowote. Timu zinazojielewa kama Liverpool VVD kaumia last week
Wiki hii wana negotiate na schalke 04 kutafuta beki mpya January. Kazi ipo msimu huu.