Kosa la Xavi anafundisha sana pressing bila ya kuwa na namna ya kufunga kama timu inalinda Kwa staili yake Laliga itakuwa ndoto kutwaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Alitaka product ya Lamasia ndio maana alimrudisha Adama na Yule dogo wa Man CityNina pata mashaka juu ya wachezaji anaowataka
Sawa madridista tumekuelewaForm ni Temporary
Class ni Permanent
Hivyo ile form ya ya miaka 11 kianzia 2004 mpaka 2015 imeshafika mwisho.
Sasa mumesharudi kwenye default yenu ya mediocre.
Wenye Class Wacha waendelee na class yao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Barcelona bingwa la Liga [emoji849][emoji849]
Duh lewandosky mbona ni uchafuBreaking News Tupo katika hatua nzuri na Lewadonsky kuja Nou Camp..na tayari alishawaaga Bayern kuwa hawatakuwa nae msimu ujao