FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kwema humu ndani?

Transition yetu inaenda vizuri, nina matumaini next season tutaimarika zaidi. Just a few transfers, and we're there!

Wapi mwekundu?
I think we have to strengthen backline,Centre back ataeweza ku pair na Araujo( i prefer koulibaly au kounde) na full back ya kushoto & probably kulia kwa sababu Dest anaweza uzwa.In Frontline Just killer striker pale mbele , Probably lewandowski japo dili linasuasua na winger ataeweza ku create chances na kufunga, kwa sababu dembele anaeza ondoka ila hata ikibaki fine!
 
I think we have to strengthen backline,Centre back ataeweza ku pair na Araujo( i prefer koulibaly au kounde) na full back ya kushoto & probably kulia kwa sababu Dest anaweza uzwa.In Frontline Just killer striker pale mbele , Probably lewandowski japo dili linasuasua na winger ataeweza ku create chances na kufunga, kwa sababu dembele anaeza ondoka ila hata ikibaki fine!
Kounde hapana, anakuaga na hasira za kipuuzi ambazo strikers wenye akili wanatumia kumvuruga. Dogo anakula red cards every now and then. Koulibaly is the right man for the job, akisimama na Araujo itakua combo ya hatari sana.


Kuhusu winger, naona Raphinha wa Leeds anawindwa kimyakimya, dogo anajua na atatufaa kama tukimpata.

Kuhusu striker, siungi mkono usajili wa Lewandoski. We need to focus on a long run. Aletwe kijana mdogo atakaeweza kuendana na project ya Xavi. Sio mtu wa kucheza misimu miwi. Alafu kumuachia Suarez ukamleta Lewandoski pia sioni kama inakua na mantiki.

Pale anahitajika forward mdogo kama yule mtoto Karim Adeyemi, au wengine wa rika lake. Akisaidiana na Aubameyang, atadevelop taratibu as time goes.

By the way, tukiwa na wings za moto, midfield ikatulia, na most importantly, defense ikawa solid enough kwa kumpata mtu wa kupair na Araujo, basi kule mbele hata tukimuweka Joti bado atatupia mpaka wakome.
 
Kounde hapana, anakuaga na hasira za kipuuzi ambazo strikers wenye akili wanatumia kumvuruga. Dogo anakula red cards every now and then. Koulibaly is the right man for the job, akisimama na Araujo itakua combo ya hatari sana.


Kuhusu winger, naona Raphinha wa Leeds anawindwa kimyakimya, dogo anajua na atatufaa kama tukimpata.

Kuhusu striker, siungi mkono usajili wa Lewandoski. We need to focus on a long run. Aletwe kijana mdogo atakaeweza kuendana na project ya Xavi. Sio mtu wa kucheza misimu miwi. Alafu kumuachia Suarez ukamleta Lewandoski pia sioni kama inakua na mantiki.

Pale anahitajika forward mdogo kama yule mtoto Karim Adeyemi, au wengine wa rika lake. Akisaidiana na Aubameyang, atadevelop taratibu as time goes.

By the way, tukiwa na wings za moto, midfield ikatulia, na most importantly, defense ikawa solid enough kwa kumpata mtu wa kupair na Araujo, basi kule mbele hata tukimuweka Joti bado atatupia mpaka wakome.
Mkuu nakubaliana na wewe! Mm kwa barca sina shida na midfields miaka yote,kwa backline kama ulivyo sema tukimpata koulibaly ata pair vizuri sana na Araujo ,uzuri ni beki kiongozi hata kule Napoli!.Shida iliopo wings zetu zina mapungufu sana(hawana ukatili golini)

Dembele is good ana create sana chances, shida yake finishing aki improve kwenye hilo then Bang (kama atabaki lakini),

Ferran torres dah huyu mimi sina trust nae (Xavi anampenda sijui kwanini!) He is good in movements & positioning ,nae ana lack finishing.

Auba is good in scoring ,shida yake moja ni first touches sasa kwa team kam barca bad first touches kwa mchezaji ni tatizo.

Kuhusu young striker nakubaliana na wewe lakini Lewandowski ( kama tutampata) ni experienced player anaeza kuleta utulivu pale mbele japo kwa misimu miwili mitatu kwa sababu tunashiriki la liga na champions league.
 
[emoji469]
20220529_075051.jpg
 
Klabu ya FC Barcelona imeruhusu harusi kuandaliwa kwenye uwanja wao wa Camp Nou kwa gharama ya kuanzia euro 1, 600 hadi euro 13, 500

Pia Barcelona imeruhusu mashabiki kukodi uwanja huo kucheza kwa dakika 60 kwa kiasi cha euro 300 kwa kila mtu kwa lengo la kujikwamua kiuchumi.

Barcelona ipo kwenye wakati mgumu kiuchumi ambapo hadi sasa wameshindwa kutangaza usajili mpya wa Andreas Christensen kutoka Chelsea na Franck Kessie kutoka AC Milan kwa sababu watavuka kiwango cha kisheria cha Laliga cha mishahara.

Barcelona wamekuja na mpango huo ambao utaanza rasmi Juni 6 hadi Julai mwaka huu kwa mashabiki kucheza ndani ya uwanja wa Camp Nou.

#KitengeSports
Angalien msije shuka hadi SEGUNDA DIVISION umbwa nyie. Ombeni msaada kwa PAPA PEREZ awaokoe
 
Klabu ya FC Barcelona imeruhusu harusi kuandaliwa kwenye uwanja wao wa Camp Nou kwa gharama ya kuanzia euro 1, 600 hadi euro 13, 500

Pia Barcelona imeruhusu mashabiki kukodi uwanja huo kucheza kwa dakika 60 kwa kiasi cha euro 300 kwa kila mtu kwa lengo la kujikwamua kiuchumi.

Barcelona ipo kwenye wakati mgumu kiuchumi ambapo hadi sasa wameshindwa kutangaza usajili mpya wa Andreas Christensen kutoka Chelsea na Franck Kessie kutoka AC Milan kwa sababu watavuka kiwango cha kisheria cha Laliga cha mishahara.

Barcelona wamekuja na mpango huo ambao utaanza rasmi Juni 6 hadi Julai mwaka huu kwa mashabiki kucheza ndani ya uwanja wa Camp Nou.

#KitengeSports
Angalien msije shuka hadi SEGUNDA DIVISION umbwa nyie. Ombeni msaada kwa PAPA PEREZ awaokoe
Unatumia kiungo gani kufikiri?
 
Man City received an additional €5m after Barcelona qualified for the UCL from Ferran Torres' transfer, bringing the total that Man City would receive so far to €60m.
 
Infantil B's Michal Zuk will NOT continue at Barcelona next season, with the reason being his family relocating to Poland. La Masia LOSES one of it's biggest gems.
1655542006473.png
 
Sale of BLM (one economic lever) has been approved by the socis! 568 votes in favor and 65 against.
 
OFFICIAL: Lieke Martens leaves Barcelona and joins PSG on a three-year dea
1655542099292.png
 
Joan Laporta: “The topic of Messi makes me sad. I will always be behind any act that is done to pay tribute to Messi, to the one who has given us so many years of glory, I’m sure we can give one. Leo will be Barça, always. He deserves eternal recognition”
 
Back
Top Bottom