Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Bila majaribio hakuna kutengeneza, ndio anapoteza hata 45' kapoteza kama mara 3 hivi. Lkn hakuna namna lazima kubreak defenceSasa awe anaangalia sehemu ya kupotezea mpira...Sio yupo kwenye nusu yake halafu kuna space nyingi za opposition kukimbia kufanya counter halafu yeye anapoteza mpira kijinga.