asanteee mkuu.. kwa kuongezea timu nzima ilikua inacheza kama watoto.. hawana malengo wala nini sema ndo vile tu ALONSO kawabeba sana.
kwangu kukupiga risasi sio shida.. na leo nilikua napita na Pep ama Boateng (unacheza kama shoga bhana!?).. nampa ya kichwa akalale pema, anatuletea za kuleta hapa shenzi kabisa.
hongereni Barca.
baki nayo hiyo hongera maana ni ya kinafki.
Real Madrid watashinda kwao. Wanahitaji goli moja kuwaondoa Juventus Asprin, Watu8
MO11Hivi bei ya MESSI imegusa ngapi jana? Ili niangalie uwezekano wa kuwapiga tafu Man Utd kumsajili, make wao wanazurura tu!Ronaldo+bale+benzema+James= KING LEO MESSI
MWENYE NACHO CHA KUONGEZA KUHUSU MESSI NAMKARIBISHA
Labda boateng wa ghana... huyu gasho katepweta tu leo.
Priceless
Daddy usiku wa leo nimemuota Messi..........lol
ukimuangalia messi leo, utabaki unajiuliza mashabiki wa ronaldo huwa wanampendea nini.
messi izi Anaza levoo.