FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ronaldo+bale+benzema+James= KING LEO MESSI

MWENYE NACHO CHA KUONGEZA KUHUSU MESSI NAMKARIBISHA
 

baki nayo hiyo hongera maana ni ya kinafki.
 
baki nayo hiyo hongera maana ni ya kinafki.

Teh Teh Teh.. ni fair play mkuu, sema sijafurahi kwani askari wangu wa kijerumani wamefanywa vibaya kisa watu wasio na roho za kijerumani.

Lazima nikupongeze Sir
 
ukimuangalia messi leo, utabaki unajiuliza mashabiki wa ronaldo huwa wanampendea nini.

messi izi Anaza levoo.
 
Ronaldo+bale+benzema+James= KING LEO MESSI

MWENYE NACHO CHA KUONGEZA KUHUSU MESSI NAMKARIBISHA
MO11Hivi bei ya MESSI imegusa ngapi jana? Ili niangalie uwezekano wa kuwapiga tafu Man Utd kumsajili, make wao wanazurura tu!

Naona Champion League wao watakuwa wanaishia kuiangailia tu Supersport kama Simba!
 
Last edited by a moderator:
MO11Hivi bei ya MESSI imegusa ngapi jana? Ili niangalie uwezekano wa kuwapiga tafu Man Utd kumsajili, make wao wanazurura tu!

Naona Champion League wao watakuwa wanaishia kuiangailia tu Supersport kama Simba!

Priceless
 
Last edited by a moderator:
ukimuangalia messi leo, utabaki unajiuliza mashabiki wa ronaldo huwa wanampendea nini.

messi izi Anaza levoo.

MESSI huyu kiumbe anajua hadi anakera yani Penado ni good Neymar better MESSSSSSS BESSSSSSSST
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…