Mchezo utakua mgumu sn Leo ingawa naona nafasi ya Munich ni ndogo sana ktk kwenda fainali kwasababu Munich waliruhusu magoli mengi sn pale camp nou! Munich anaweza kushinda leo lkn sio goli nyingi sn na km itapindua matokeo na Munich kuingia fainali basi huu utakua muujiza Wa mwaka.
Hatuna lingine tunalolijua kwasasa zaidi ya Barca for final match...Barca for UCL Cup..... Karibu ushuhudie mtanange wa nguvu wa Barca akienda fainal.
Ni kweli mamito. Munich ingekua chini ya Jose Mourinho ningesema Leo Barca atapata shida lkn kwa Pep Guadiora uwezo wake si mkubwa sn hawezi kuisukuma Barc nje ya UCL leo. Yani km atafanya hivyo basi itakua miujiza sn.
Naona fainal Fc Barcelona na Real Madrid. Juve kesho hana chake ata Mourinho anajua hilo.
Barça bye bye!!
Sasa leo mpira ukitoka tuu secunde haichukui wataurudisha uwanjani lakini hawatoki
Fainal ni Barca na Juve babito. . . ...Ni kweli mamito. Munich ingekua chini ya Jose Mourinho ningesema Leo Barca atapata shida lkn kwa Pep Guadiora uwezo wake si mkubwa sn hawezi kuisukuma Barc nje ya UCL leo. Yani km atafanya hivyo basi itakua miujiza sn.
Naona fainal Fc Barcelona na Real Madrid. Juve kesho hana chake ata Mourinho anajua hilo.
Fainal ni Barca na Juve babito. . . ...
tumebakiwa na dakika 21 mtanange kuanza kaeni mkao wa kula aleyn everlink PNC1 we are ready we are together