Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
63' Mins Yellow Card Ivan Rakitic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashambulizi ya Barca yanapitia kulia na machache ktkt, na kwa kuwa Neymar anatokea kushoto ni rahisi kwake kufunga
Suarez katoka game limepoa
Mascherano anafanya uzembe sana
Sasa Neymar atafungaje tena,maana Utatu umevugika sasa.
Kwa nini wamemtoa
Bado haijaisha,bado dk 20Game bado haijamalizika?
Game bado haijamalizika?
Barca imecheza mechi 36 la liga... imefungwa magoli 16 tu.
Kweli itakuwa haina beki nzuri kwa kuwa ndio timu iliyofungwa mabao machache zaidi
Bado Barca anahitaji bao lingine... .