FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Sasa Neymar atafungaje tena,maana Utatu umevugika sasa.
 
Barca imecheza mechi 36 la liga... imefungwa magoli 16 tu.

Kweli itakuwa haina beki nzuri kwa kuwa ndio timu iliyofungwa mabao machache zaidi

ni kweli barca beki yao sio nzuri,ila wanatumia kuka na mipira muda mrefu ndio maana unakuta wamefungwa magoli machache.katika mechi hizo zote unaweza kukuta 75% mpira walikuwa nao wao...
 
Mpira unapotea sana katikati ya uwanja... Xavi anaingia kutuliza timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…