nshomilewaitu
Member
- May 9, 2015
- 41
- 14
Sielewi ...Kuna haja gani ya kuwatoa Muller & Schweinsteiger?
Aliamini wameshashinda,jamaa wakasawazisha na kuongeza la tatuYaani kamtoa Suarez mapema sana.....Suarez alikuwa anaamsha popo vizuri sana.....
Wasije wakavunjwa wakashindwa kucheza fainal na juve.
Kwa kweli naomba sana afunge yake aongeze idadi ya magoli ......Shem nafurahi tupo pamoja
furaha imenipungua ever kwa kufungwa hii gem tumeruhusu magoli ya kizembeWatu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Barca for final, Barca for UCL cup.......
#VarmosBarca
Yaani kamtoa Suarez mapema sana.....Suarez alikuwa anaamsha popo vizuri sana.....
Namna ganiiiii,.... Hapo neyrmay jamani....
neymar mpira hakuupiga vizuri messi na yee leo angaliweka la kwake
Shemeji utanidai...
Kesho nawatakia kila la kheri Juventus.... lazima bibi aheshimiwe... katuzalia mama.
hahahaaaaUkelele niliouachia hapa acha kabisaa ......tungechekaje!!!!!
furaha imenipungua ever kwa kufungwa hii gem tumeruhusu magoli ya kizembe
Hata nami kesho Niko na Juve......#ForzaJuve .
Shem strategy ni kumhifadhi kwa ajili ya fainali.
Ukelele niliouachia hapa acha kabisaa ......tungechekaje!!!!!