Mimi nionavyo hapo Enrique hakosi usingizi kabisa maana Perez ndio atanunua wachezaji na kupanga timu/ benetez hapo ni fall guy wa kutupiwa lawama.Kitu Ancelot bwana, jamaa alitengeneza timu ikawa inacheza soka la kufunguka bila madhara yoyote.
Endapo jamaa angebaki mimi nadhani msimu ujao still angetuburuza Santiago Bernabeu, kocha mzuri sana huyu Ancelot.
jamani kabla hatujachukua ndoo yetu nataka niapate moja kati ya hizi ushauri naomba kutoka namba 1 hadi 9
View attachment 256731View attachment 256732View attachment 256733 View attachment 256735
View attachment 256736View attachment 256737View attachment 256730View attachment 256741
View attachment 256739
jamani kabla hatujachukua ndoo yetu nataka niapate moja kati ya hizi ushauri naomba kutoka namba 1 hadi 9
View attachment 256731View attachment 256732View attachment 256733 View attachment 256735
View attachment 256736View attachment 256737View attachment 256730View attachment 256741
View attachment 256739
Ule mpambano wa marudiano chiellini vs suarez hautakuwepo....!! Ni masikitiko chiellini ni majeruhi.
Ule mpambano wa marudiano chiellini vs suarez hautakuwepo....!! Ni masikitiko chiellini ni majeruhi.
Chiellin huyu huyu anayejitapa kwamba Messi hatatupia kwao?
Ana bahat maana alijisifia kuwa messi hawez msumbua nahisi kajifanyisha ili asipate aibu
mkuu umemaliza na sina cha kuongeza ningekuwa natumia pc ningekupa like ya nguvuMessi hua anajua mahali pa kujibia maswali ya mtihani ni chumba cha mtihani sio vijiweni. Majibu ya Berlin yangempa kiwewe kama mzee Ferguson alivyotetemeka messi akipiga kichwa na uandunje wake. Messi ni kipimo cha ubora..ili mxhezaji aitwe bora ni mpaka uvunje rekodi za messi.
Ana bahat maana alijisifia kuwa messi hawez msumbua nahisi kajifanyisha ili asipate aibu
tarehe 6 iyooo
Ahahahahaha acha kabisaaaaa, naona akina Chielin washaanza kukimbia.